HABARI MAHUSUSI

JK amtega Mwakyembe

Na Reginald Miruko 09 May 2012

DK. Harrison Mwakyembe, waziri mpya wa uchukuzi, yuko kitanzini na aweza kulazimika kujiuzulu wakati wowote kutoka sasa.

 
Na Nyaronyo Kicheere 09 May 2012

MIONGONI mwa mawaziri machachari walioteka hata nyoyo za wananchi ni Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli.

 
Na Jabir Idrissa 09 May 2012

RAIS Jakaya Kikwete hataitwa mahakamani katika kesi inayomkabili mwanadiplomasia, Profesa Costa Mahalu, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Alfred Lucas 09 May 2012

WATANZANIA hawatazuiwa kutoa maoni juu ya wanavyotaka Muungano uwe, MwanaHALISI limeambiwa.

 

KAMA mawaziri wapya wanafahamu sababu za kuteuliwa kwao sasa ili kuingia katika baraza la mawaziri, wana bahati kubwa.

12/05/2012