HABARI MAHUSUSI

Lowassa aibua mapya

Na Saed Kubenea 21 Jul 2010

Edward Lowassa

MADAI mapya ya Edward Lowassa, yule waziri mkuu aliyejiuzulu, kwamba hata kama angekuwa madarakani angeendelea kushirikiana na kampuni ya Richmond, yameibua mapya.

 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame
Na Jabir Idrissa 21 Jul 2010

MAUAJI ya Profesa Jwani Timothy Mwaikusa, sasa yanahusishwa na wauaji kutoka nchi jirani, MwanaHALISI limeambiwa.

 
Edward Lowassa
Na M. M. Mwanakijiji 21 Jul 2010

MBUNGE wa Monduri, Edward Lowassa ameibuka.
Amedai tena kwamba hata akiamshwa usingizini leo hii na kuulizwa kama angebadili maamuzi yake na jinsi alivyoshughulikia suala la Richmond, bado maamuzi yake yatakuwa yaleyale.

 
Rais Jakaya Kikwete
Na Mbasha Asenga 21 Jul 2010

MIONGONI mwa mambo aliyozungumza Rais Jakaya Kikwete wakati wa hotuba yake ya kuaga Bunge Ijumaa iliyopita ni kuvishukuru vyombo vya usalama kwa kudumisha amani, utulivu na ulinzi wa mipaka yetu.

 

KWA muda wa wiki moja iliyopita kumekuwa na habari njema juu ya maendeleo ya utafiti wa dawa ya kuzuia na kutibu ugonjwa wa ukimwi.

24/07/2010