Mwakyembe


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Harrison Mwakyembe

Jabir Idrissa's picture

Nini kinamuandama Dk. Mwakyembe?


Na Jabir Idrissa - Imechapwa 12 October 2011

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe yuko nchini India anakopatiwa matibabu ya afya yake. Amelazwa kwenye hospitali maarufu nchini India ya Indraprastha Apollo iliyoko mjini Chinai.

Andrew Kamanda's picture

‘Waasisi wa CCJ wafukuzwe CCM’


Na Andrew Kamanda - Imechapwa 22 June 2011

TANGU taarifa kwamba spika wa zamani wa Bunge, Samwel Sitta na Dk. Harrison Mwakyembe, ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa Chama cha Jamii (CCJ) ziibuke, mjadala mkubwa umekuwepo ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Jabir Idrissa's picture

Sitta, Dk. Mwakyembe hawatoki CCJ - Ng’hily


Na Jabir Idrissa - Imechapwa 08 June 2011

ANAJIAMINI na anasema anaweza kusimamia kile anachokiamini.

Paschally Mayega's picture

Malipo Dowans ni marafiki wanaolipa marafiki


Na Paschally Mayega - Imechapwa 01 June 2011

RAIS wangu tukubali kuwa kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile wa Sumunge, Loliondo kinatibu maradhi mengi kuliko aliyoyataja na anayoyafahamu.

editor's picture

Makala ya Mtangazaji – Porokwa


Na editor - Imechapwa 30 May 2011

Kwa muda wa takribani wiki mbili sasa, vyombo vya habari vimeripoti maelezo yaliyotolewa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa CHADEMA, Mh. Anthony Komu, kwamba Nape Nnauye alikuwa mwasisi wa Chama Cha Jamii (CCJ).

Saed Kubenea's picture

‘Sitta, Mwakyembe watoswe’


Na Saed Kubenea - Imechapwa 25 May 2011

Ni kwa ‘usaliti mkuu’ ndani ya CCM
Lowassa, Rostam, Chenge nao wafukuzwe

TUHUMA za kukisaliti chama zinazowakabili spika wa zamani wa Bunge, Samwel Sitta na mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe, zaweza kuwafukuzisha kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limeelezwa.

Saed Kubenea's picture

Kikwete ndani ya CCJ


Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011

NYOTA ya spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta imezimwa, MwanaHALISI limeelezwa.

Saed Kubenea's picture

Rais Kikwete hajamchoka Mrindoko?


Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 May 2011

WIKI iliyopita, Rais Jakaya Kikwete alifanya uteuzi wa naibu makatibu wakuu wapya 10 katika wizara mbalimbali ndani ya serikali yake. Miongoni mwa walioteuliwa, ni Bashir Mrindoko aliyefanywa naibu katibu mkuu wizara ya maji.

Saed Kubenea's picture

Slaa, Mwakyembe watishiwa kuuawa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 09 March 2011

Membe, Mengi, Mwandosya nao wamo
IJP: Tuna taarifa hizo, tunachunguza
Sheikh Yahaya Hussein naye ahusishwa

KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini, Dk. Willibrod Slaa ametajwa kwenye orodha ya watu wanaotishiwa kuuawa.

Joster Mwangulumbi's picture

Mafisadi wanatusingizia uhaini


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 16 February 2011

WAZIRI mkuu Mizengo Pinda aliposema mafisadi ni hatari, wachambuzi wa masuala ya kisiasa walimrukia na kudai ni kauli ya kusalimu amri.

Saed Kubenea's picture

Kikwete njia panda


Na Saed Kubenea - Imechapwa 25 January 2011

Ukimya wake sasa wamponza
Wabunge CCM wamkoromea

SUALA la kampuni ya kufua umeme ya Dowans limemweka Rais Jakaya Kikwete njiapanda, MwanaHALISI limeelezwa.

M. M. Mwanakijiji's picture

Wakiwalipa Dowans, tuwalipishe


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 25 January 2011

NINAZO habari mbili; moja mbaya nyingine nzuri. Kwanza, ni mkataba ambao Shirika la Umeme la Taifa (TANESCO) ilifunga na kampuni ya Richmond na kujiweka chini ya usuluhishi wa Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi (ICC) bila ya kuwa na nafasi ya kukataa rufaa.

Paschally Mayega's picture

Kikwete utachomoka Dowans?


Na Paschally Mayega - Imechapwa 19 January 2011

NIMESOMA maandiko ya baadhi ya waandishi waliohoji, nani aliyetufikisha hapa katika sakata hili la Dowans?

Ezekiel Kamwaga's picture

Mwakyembe na wapambanaji wenzake wangefanyaje


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 08 December 2010

KUNA mjadala umeibuka katika siku za karibuni tangu Rais Jakaya Kikwete alipowateua Samwel Sitta na Dk. Harrison Mwakyembe kwenye baraza la mawaziri.

Saed Kubenea's picture

Lowassa amhujumu Mwandosya


Na Saed Kubenea - Imechapwa 16 June 2010

Mwamunyange kumvaa Mwakyembe
Karavina kumtokomeza Sitta
Sitta alalamika kuchezewa rafu

NYARAKA za siri zinazoonyesha mpango wa kumtokomeza kisiasa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya zimevuja.

Mwandishi wetu's picture

Ubunge wa Mwakyembe shakani


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 23 December 2009

Lowassa, Rostam, Karamagi watajwa
Mwenyewe apambana mpaka mwisho

NGUVU kubwa na za kifedha na mikakati ya kisiasa, zinatumika kuhakikisha John Mwakipesile, mkuu wa mkoa wa Mbeya, anaingia katika kinyang’anyiro cha ubunge mwaka kesho katika Jimbo la Kyela.

Aristariko Konga's picture

Polisi wajibu hoja za Mwakyembe


Na Aristariko Konga - Imechapwa 09 June 2009

JESHI la Polisi nchini lina wataalam wa kutengeneza migogoro. Mgogoro mojawapo unaotokana na utaalam kama huo ni ule unaohusu matokeo ya uchunguzi wa ajali iliyompata Dk. Harrison Mwakyembe, Mbunge wa Kyela,  eneo la Ihemi, Ifunda, mkoani Iringa, 21 Mei, mwaka huu.

Mwandishi wetu's picture

Ajali ya Mwakyembe yatatanisha zaidi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 26 May 2009

Yasheheni madai mazito

AJALI ya gari iliyomhusisha Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe imeanza kuibua mengi, MwanaHALISI limegundua.

Saed Kubenea's picture

Vita vya makundi CCM vyamwandama Kikwete


Na Saed Kubenea - Imechapwa 07 April 2009

Mwakyembe amkomalia Chiligati
Mkuchika kuvaana na Makamba

VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

Mwandishi wetu's picture

Mwakyembe: Nitafyatuka


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 25 March 2009

Lissu: Dharura ni kichaka cha ufisadi

MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harisson Mwakyembe amembwatukia mfanyabiashara Rostam Aziz na kumwonya kuwa “kuna siku tutafyatuka…tusiheshimiane kabisa.”

M. M. Mwanakijiji's picture

Mgawanyiko CCM: Kikwete njiapanda


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 25 March 2009

WABUNGE wenye msimamo kama wa mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe, na wale wenye msimamo kama wa Rostam Aziz, mbunge wa Igunga, hawawezi kubakia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wakati mmoja. Sharti wale wa msimamo mmoja watoke ili chama kinusurike.

Mwandishi wetu's picture

Mwakyembe akoromea Rostam


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 25 March 2009

JUMATANO iliyopita mbunge wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe alikutana na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam, kujibu kile alichoita, “kombora” alilotupiwa. Ifuatayo ni sehemu iliyofupishwa ya maelezo yake, ikifuatiwa na mahojiano kati yake na waandishi. 

Isango Josephat Ng’imba's picture

Mwakyembe ametusononesha


Na Isango Josephat... - Imechapwa 21 January 2009

HUYU ndiye Dk. Harrison Mwakyembe au vyombo vya habari vimetudanganya? Soma kauli aliyonukuliwa akitoa na kukaririwa na gazeti la Mwananchi toleo la 14 Januari 2009:

Chacha Kisiri's picture

Richmond: Yaliofanyika hayatoshi


Na Chacha Kisiri - Imechapwa 29 July 2008

KATIKA siku chache zilizopita, serikali ilitamka kwamba imevunja mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura kati yake na kampuni ya Dowans Holdings S.A iliyorithi mkataba huo kutoka kwa Richmond Development Company (LLC).

Saed Kubenea's picture

Bomu la Mwakyembe lalipuka


Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 July 2008

Ni katika Sakata la Richmond
Mke wa waziri alipigia magoti Kamati

MKE wa mmoja wa mawaziri watatu waliojiuzulu kutokana na sakata la Richmond, alipigia magoti baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge akiomba wamlinde mume wake, imefahamika.

Mwandishi wetu's picture

Hoja ya Rostam Bungeni hii


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 29 April 2008

Mheshimiwa Spika, nashukuru kwa kunipatia nafasi hii ya kuzungumza mbele ya Bunge lako tukufu ili niweze kutoa maelezo na vielelezo kuthibitisha hoja nilizotoa katika mchango wangu wa maandishi