Mwakyembe
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Harrison Mwakyembe

Nini kinamuandama Dk. Mwakyembe?
NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe yuko nchini India anakopatiwa matibabu ya afya yake. Amelazwa kwenye hospitali maarufu nchini India ya Indraprastha Apollo iliyoko mjini Chinai.
‘Waasisi wa CCJ wafukuzwe CCM’
TANGU taarifa kwamba spika wa zamani wa Bunge, Samwel Sitta na Dk. Harrison Mwakyembe, ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa Chama cha Jamii (CCJ) ziibuke, mjadala mkubwa umekuwepo ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Sitta, Dk. Mwakyembe hawatoki CCJ - Ng’hily
ANAJIAMINI na anasema anaweza kusimamia kile anachokiamini.
Malipo Dowans ni marafiki wanaolipa marafiki
RAIS wangu tukubali kuwa kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile wa Sumunge, Loliondo kinatibu maradhi mengi kuliko aliyoyataja na anayoyafahamu.
Makala ya Mtangazaji – Porokwa
Kwa muda wa takribani wiki mbili sasa, vyombo vya habari vimeripoti maelezo yaliyotolewa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa CHADEMA, Mh. Anthony Komu, kwamba Nape Nnauye alikuwa mwasisi wa Chama Cha Jamii (CCJ).

‘Sitta, Mwakyembe watoswe’
- Ni kwa ‘usaliti mkuu’ ndani ya CCM
- Lowassa, Rostam, Chenge nao wafukuzwe
TUHUMA za kukisaliti chama zinazowakabili spika wa zamani wa Bunge, Samwel Sitta na mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe, zaweza kuwafukuzisha kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limeelezwa.

Kikwete ndani ya CCJ
NYOTA ya spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta imezimwa, MwanaHALISI limeelezwa.

Rais Kikwete hajamchoka Mrindoko?
WIKI iliyopita, Rais Jakaya Kikwete alifanya uteuzi wa naibu makatibu wakuu wapya 10 katika wizara mbalimbali ndani ya serikali yake. Miongoni mwa walioteuliwa, ni Bashir Mrindoko aliyefanywa naibu katibu mkuu wizara ya maji.

Slaa, Mwakyembe watishiwa kuuawa
- Membe, Mengi, Mwandosya nao wamo
- IJP: Tuna taarifa hizo, tunachunguza
- Sheikh Yahaya Hussein naye ahusishwa
KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini, Dk. Willibrod Slaa ametajwa kwenye orodha ya watu wanaotishiwa kuuawa.

Mafisadi wanatusingizia uhaini
WAZIRI mkuu Mizengo Pinda aliposema mafisadi ni hatari, wachambuzi wa masuala ya kisiasa walimrukia na kudai ni kauli ya kusalimu amri.

Kikwete njia panda
- Ukimya wake sasa wamponza
- Wabunge CCM wamkoromea
SUALA la kampuni ya kufua umeme ya Dowans limemweka Rais Jakaya Kikwete njiapanda, MwanaHALISI limeelezwa.

Wakiwalipa Dowans, tuwalipishe
NINAZO habari mbili; moja mbaya nyingine nzuri. Kwanza, ni mkataba ambao Shirika la Umeme la Taifa (TANESCO) ilifunga na kampuni ya Richmond na kujiweka chini ya usuluhishi wa Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi (ICC) bila ya kuwa na nafasi ya kukataa rufaa.
Kikwete utachomoka Dowans?
NIMESOMA maandiko ya baadhi ya waandishi waliohoji, nani aliyetufikisha hapa katika sakata hili la Dowans?

Mwakyembe na wapambanaji wenzake wangefanyaje
KUNA mjadala umeibuka katika siku za karibuni tangu Rais Jakaya Kikwete alipowateua Samwel Sitta na Dk. Harrison Mwakyembe kwenye baraza la mawaziri.

Lowassa amhujumu Mwandosya
- Mwamunyange kumvaa Mwakyembe
- Karavina kumtokomeza Sitta
- Sitta alalamika kuchezewa rafu
NYARAKA za siri zinazoonyesha mpango wa kumtokomeza kisiasa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya zimevuja.

Ubunge wa Mwakyembe shakani
- Lowassa, Rostam, Karamagi watajwa
- Mwenyewe apambana mpaka mwisho
NGUVU kubwa na za kifedha na mikakati ya kisiasa, zinatumika kuhakikisha John Mwakipesile, mkuu wa mkoa wa Mbeya, anaingia katika kinyang’anyiro cha ubunge mwaka kesho katika Jimbo la Kyela.

Polisi wajibu hoja za Mwakyembe
JESHI la Polisi nchini lina wataalam wa kutengeneza migogoro. Mgogoro mojawapo unaotokana na utaalam kama huo ni ule unaohusu matokeo ya uchunguzi wa ajali iliyompata Dk. Harrison Mwakyembe, Mbunge wa Kyela, eneo la Ihemi, Ifunda, mkoani Iringa, 21 Mei, mwaka huu.

Ajali ya Mwakyembe yatatanisha zaidi
- Yasheheni madai mazito
AJALI ya gari iliyomhusisha Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe imeanza kuibua mengi, MwanaHALISI limegundua.

Vita vya makundi CCM vyamwandama Kikwete
- Mwakyembe amkomalia Chiligati
- Mkuchika kuvaana na Makamba
VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

Mwakyembe: Nitafyatuka
- Lissu: Dharura ni kichaka cha ufisadi
MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk. Harisson Mwakyembe amembwatukia mfanyabiashara Rostam Aziz na kumwonya kuwa “kuna siku tutafyatuka…tusiheshimiane kabisa.”

Mgawanyiko CCM: Kikwete njiapanda
WABUNGE wenye msimamo kama wa mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe, na wale wenye msimamo kama wa Rostam Aziz, mbunge wa Igunga, hawawezi kubakia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wakati mmoja. Sharti wale wa msimamo mmoja watoke ili chama kinusurike.

Mwakyembe akoromea Rostam
JUMATANO iliyopita mbunge wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe alikutana na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam, kujibu kile alichoita, “kombora” alilotupiwa. Ifuatayo ni sehemu iliyofupishwa ya maelezo yake, ikifuatiwa na mahojiano kati yake na waandishi.

Mwakyembe ametusononesha
HUYU ndiye Dk. Harrison Mwakyembe au vyombo vya habari vimetudanganya? Soma kauli aliyonukuliwa akitoa na kukaririwa na gazeti la Mwananchi toleo la 14 Januari 2009:

Richmond: Yaliofanyika hayatoshi
KATIKA siku chache zilizopita, serikali ilitamka kwamba imevunja mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura kati yake na kampuni ya Dowans Holdings S.A iliyorithi mkataba huo kutoka kwa Richmond Development Company (LLC).

Bomu la Mwakyembe lalipuka
- Ni katika Sakata la Richmond
- Mke wa waziri alipigia magoti Kamati
MKE wa mmoja wa mawaziri watatu waliojiuzulu kutokana na sakata la Richmond, alipigia magoti baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge akiomba wamlinde mume wake, imefahamika.

Hoja ya Rostam Bungeni hii
Mheshimiwa Spika, nashukuru kwa kunipatia nafasi hii ya kuzungumza mbele ya Bunge lako tukufu ili niweze kutoa maelezo na vielelezo kuthibitisha hoja nilizotoa katika mchango wangu wa maandishi