Nahodha


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Vuai Nahodha

Mwandishi wetu's picture

Upole wa Nahodha wayeyusha makali


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 03 August 2011

BUNGE la Jamhuri ya Muungano, Ijumaa iliyopita, lilipitisha bajeti ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi, hatua ambayo wengi imewaacha midomo wazi.

Saed Kubenea's picture

Shamsi Vuai Nahodha: Sina mamalamiko


Na Saed Kubenea - Imechapwa 21 July 2010

Apigia debe serikali ya umoja wa kitaifa
Ampamba Rais Aman Abeid Karume

WAZIRI Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Shamsi Vuai Nahodha alitaka kugombea urais Visiwani. Hakufanikiwa.

Mbasha Asenga's picture

Waziri Kiongozi, Uwaziri mkuu hawawezi kuwa rais?


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 14 July 2010

MCHAKATO wa kusaka mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka huu, umethibitisha kwa mara nyingine kwamba nafasi ya Waziri Kiongozi au Waziri Mkuu si njia ya kutumia kuufikia urais.