Ngeleja
Mlolongo wa Habari zinazomhusu William Ngeleja

Ngeleja anasubiri miujiza
MAJIBU aliyowahi kutoa Makamu wa Rais wa Uganda, Dk. Specioza Kazibwe kwa mwandishi mmoja maarufu hapa nchini yanafaa kutumika kujadili hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja.

Wizara inasambaza giza, hongo
MWAKA 1971 nilikuwemo kwenye kikundi cha kwaya cha shule ya msingi ya Ihahi, wilayani Mbarali iliyoandaliwa maalum kwa ajili ya sherehe za nchi kutimiza miaka 10 ya uhuru.

Chambo cha Nishati na Madini chanasa wengine
FEBRUARI 7, 2008 Baraza la Mawaziri lilipovunjika. Hayo yalikuwa matokeo ya kujiuzulu kwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa. Kwa kuondoka waziri mkuu maana yake kila waziri aliondoka, na kwa maana hiyo, serikali ilianguka bungeni.

Waziri Ngeleja kufukuzwa?
WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja na katibu mkuu wa wizara hiyo, David Jairo wamekalia kuti kavu, imefahamika.

Ngeleja anapiga porojo tatizo la umeme
WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja ameshindwa kazi. Tangu alipoteuliwa kushika nafasi hiyo, Februari 2008, Ngeleja ameshindwa kushughulikia ipasavyo suala la uhaba wa umeme linalolikabili taifa.

Ngeleja amdhoofisha Prof. Mwandosya?
- Ni kwa kutaka kumnyang’anya EWURA
- Yadaiwa ni mbinu za urais mwaka 2015
- Haruna Masebo afanyiwa vitimbi vipya
WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja anatuhumiwa kuandaa njama za kudhoofisha wizara moja na kuangamiza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA).
Kikwete utachomoka Dowans?
NIMESOMA maandiko ya baadhi ya waandishi waliohoji, nani aliyetufikisha hapa katika sakata hili la Dowans?

Ngeleja na giza lililomshinda Mkapa, Kikwete
WAZIRI wa umeme, William Ngeleja ameomba kufutwa kazi. Asipofutwa na mtawala atafutwa na wananchi.

Tanesco, Ngeleja na giza
RAIS Jakaya Kikwete amepata kusema "Taifa halitaingia gizani." Naye Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja wiki iliyopita amejiapiza, “Serikali italiweka tatizo la mgao wa umeme kwenye kumbukumbu za historia.”

Mgodi wa Lusu karaha tupu
KILE kinachoitwa uhusiano mwema hakionekani kati ya Resolute (Tanzania) Limited (RTL), kampuni inayoendesha mgodi wa dhahabu wa Lusu uliopo Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, na wananchi wanaoishi maeneo yanayouzunguka.

Sheria ya madini chafu
HAPO zamani wananchi walioishi katika maeneo yenye madini waliamka asubuhi na kuokota madini yaliyoota kama uyoga. Waliuza na kumaliza shida zao.

Ngeleja atoka kijasho, lakini apeta
- Ni katika Muswada wa Madini
KAMA kuna jambo litakaloingia kwenye historia ya waziri William Ngeleja, ni mjadala wa Muswada wa Sheria ya Madini wa mwaka 2010.

'Tunaogopa Dowans kama baba mkwe'
NI hatari sana kuwa na viongozi woga. Ni hatari zaidi kuwa na viongozi wasio na maono. Ni hatari iliyopita kiasi kuwa na viongozi wasio wakweli kwa wanaowaongoza.

Sheria ya madini inufaishe taifa
WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja, amenukuliwa na vyombo vya habari hivi karibuni akisema Muswada wa Sheria mpya ya Madini ya Mwaka 2009 utawasilishwa bungeni mwaka huu.

Ngeleja sasa amwacha Zitto ulingoni
- SAKATA LA DOWANS
HITIMISHO la mjadala wa ununuzi wa mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans Holding (Tanzania) Limited, bado halijafikiwa.

Mpango kununua Dowans waiva
SERIKALI na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), bado wanaendelea na mazungumzo ya kununua mitambo ya Dowans, MwanaHALISI limegundua.

Sakata la Dowans: Waziri Ngeleja siyo mkweli
SAKATA la ununuzi wa mitambo ya kufua umeme kutoka kampuni ya Dowans Holding (Tanzania) Limited, halijapatiwa ufumbuzi.

Sakata la Dowans: Serikali kuchafuka upya
KELELE za sasa ndani ya serikali kuhusu ununuzi wa mitambo ya Dowans ni jitihada zinazolenga “kukidhi maslahi binafsi,” MwanaHALISI limegundua.

Sakata la Dowans: Msimu mwingine wa ufisadi serikalini?
SERIKALI imekuwa kigeugeu. Sasa inataka kununua mitambo ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Dowans.