Pinda


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Waziri Mkuu Pinda

Jacob Daffi's picture

Mbio za urais zaingia kanisani


Na Jacob Daffi - Imechapwa 18 January 2012

Lowassa tayari ashika mwaliko wa 2013
Sitta, Membe wapigana vikumbio
Mbowe: Mimi hasitaki urais

MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka urais mwaka 2015, wameanza mbio katika nyumba za ibada,  MwanaHALISI imebaini.

Nyaronyo Kicheere's picture

Pinda ahalalisha uhalifu mkoani Mara


Na Nyaronyo Kicheere - Imechapwa 28 September 2011

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, wiki iliyopita alifanya ziara mkoani Mara ambako pamoja na mambo mengine aliagiza na kuelekeza kwamba wakazi wa mkoa huo unaogubikwa na vurugu na mapigano ya mara kwa mara watumie mabaraza ya jadi maarufu kama iritongo kutatua migogoro yao.

editor's picture

Kama mnajua, epusheni balaa


Na editor - Imechapwa 07 September 2011

WIKI iliyopita Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alionya kwamba kuwepo kwa viongozi wengi wasio waadilifu, wenye uchu wa mali na wanaojilimbikizia mali nchini kunahatarisha amani na utulivu.

Mwandishi wetu's picture

Pinda naye ‘Kassim wa Matumizi’


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 03 August 2011

OFISI ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda imetumia zaidi ya Sh. 174.5 milioni kwa kile ambacho kimeelezwa kuwa “mchakato wa kufanikisha bajeti yake,” MwanaHALISI limeelezwa.

Ndimara Tegambwage's picture

Posho na umasikini wa ‘kutaga mayai’


Na Ndimara Tegambwage - Imechapwa 13 July 2011

KAULI ya waziri mkuu Mizengo Pinda, kwamba serikali “itaangalia upya suala zima la posho,” inaelekea kuzima joto la hoja muhimu.

Ephraim Mujungu's picture

Pinda, amesahau ‘wazazi’ wake


Na Ephraim Mujungu - Imechapwa 13 July 2011

NIMEJITOSA mjadala wa posho za wabunge baada ya kuona upotoshaji mkubwa uliofanywa na waziri mkuu wa Jamhuri, Mizengo Pinda.

M. M. Mwanakijiji's picture

Pinda anatutuliza huku anatuumiza?


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 06 July 2011

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametufungua macho wengi. Hili limejidhihirisha wakati akihitimisha mjadala wa bajeti ya ofisi yake bungeni, mwishoni mwa wiki iliyopita.

Kondo Tutindaga's picture

Ni uamuzi mgumu, utapeli au ajali ya kisiasa?


Na Kondo Tutindaga - Imechapwa 06 July 2011

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amelidanganya tena Bunge. Amedai serikali ya awamu ya nne imefanya maamuzi mengi magumu kuliko serikali nyingine yoyote iliyotangulia. Hii ni kejeri ya aina yake na ninaamini rais mstaafu Benjamin Mkapa alipomsikia Pinda akitoa kauli hiyo alishikwa na bumbuwazi.

Kondo Tutindaga's picture

Unafiki wa CHADEMA, ulafi wa CCM


Na Kondo Tutindaga - Imechapwa 29 June 2011

TAKRIBANI majuma mawili sasa, Bunge la Jamhuri na baadhi ya vyombo vya habari nchini vimetawaliwa na mjadala wa posho za wabunge na watumishi wa serikali.

Mbasha Asenga's picture

Pinda ameanza kunogewa na madaraka


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 22 June 2011

SIKU moja nilikuwa najadiliana na rafiki yangu juu ya mustakabali wa taifa hili hasa tunapowatazama viongozi wa kisiasa. Pamoja na mengi aliyonieleza, kitu kimoja hadi leo ninakikumbuka.

Joster Mwangulumbi's picture

Nyuma ya pazia la posho za wabunge


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 22 June 2011

SIKU 68 tangu Mizengo Kayanza Peter Pinda ateuliwe kuwa waziri mkuu kuchukua nafasi ya Edward Lowassa alikumbana na mtihani wa kwanza mgumu, kumkalisha chini waziri wake na kumwambia ajiuzulu.

Edson Kilatu's picture

Spika Makinda na ‘kiatu pwayu’


Na Edson Kilatu - Imechapwa 04 May 2011

NAUNGANA na wanaosema Spika Anne Makinda hana uwezo wa kuongoza bunge; hasa bunge la sasa. Chombo hiki kikuu nchini – Bunge – kina majukumu matatu makuu: kutunga sheria, kushauri na kusimamia serikali na kuwakilisha wananchi.

Saed Kubenea's picture

CHADEMA yaumbua Pinda


Na Saed Kubenea - Imechapwa 16 February 2011

Yataka afute kauli yake bungeni
Hatima yake mikononi mwa spika
Spika Makinda kumfichia aibu

USHAHIDI wa CHADEMA, kuthibitisha jinsi Waziri Mkuu Mizengo Pinda “alivyodanganya bunge,” umesheheni vielelezo ambavyo vinaweza kumjeruhi kisiasa – yeye binafsi na serikali yake.

Joster Mwangulumbi's picture

Pinda aetembea na kiziba mdomo


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 25 January 2011

RAIS Yoweri Museveni wa Uganda wiki mbili zilizopita alilazimika kuzozana na vyombo vya habari hasa gazeti moja lililochora katuni inayomhusu.

Saed Kubenea's picture

Pinda atajwa mauaji Arusha


Na Saed Kubenea - Imechapwa 12 January 2011

JITIHADA za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuepusha maafa mjini Arusha, zilihujumiwa na serikali, MwanaHALISI limeelezwa.

Ezekiel Kamwaga's picture

Mnamlinda Pinda au mna lenu jambo?


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 22 December 2010

KATIKA lugha ya Kifaransa, kuna maneno ambayo mtu hatakiwi kuyasema hadharani. Mojawapo ni neno Merde. Hata hivyo, baada ya kusikia kilichotokea katika Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita, nilishindwa kujizuia kusema neno hilo.

Saed Kubenea's picture

Wezi wa Dowans hawa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 22 December 2010

MAFISADI watatu waliojipanga kuchota Sh. 185 bilioni kutoka serikalini, zikiwa fidia kwa kuvunja mkataba wa kampuni ya kufua umeme ya Dowans, wamefahamika.

editor's picture

Tunapigania haki ya wote


Na editor - Imechapwa 22 December 2010

SASA serikali imepitiliza katika kunyanyasa gazeti hili. Ijumaa iliyopita, mwandishi wetu, Saed Kubenea, alizuiwa kuingia mkutanoni Ikulu.

Mwandishi wetu's picture

Pinda akimbia MwanaHALISI


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 22 December 2010

SERIKALI imezuia mwandishi wa MwanaHALISI kuhudhuria mkutano wa vyombo vya habari ulioitishwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Saed Kubenea's picture

Nani anayekabidhiwa fedha ya Dowans?


Na Saed Kubenea - Imechapwa 22 December 2010

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri, Mizengo Pinda amejitwisha zigo lisilobebeka. Litamuangusha. Ameahidi kulipa mabilioni ya shilingi kwa kampuni ya kufua umeme wa dharula, Dowans Holding Tanzania Limited.

Joster Mwangulumbi's picture

Pinda ni shokabuzoba ya serikali ya JK


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 22 December 2010

KATIKA gari kuna chombo kiitwacho shock absorber (shokabzoba); madereva mitaani wanaziita ‘shokap’. Kazi kubwa ni kuongeza mneso wa gari na kupunguza mtikisiko mkubwa likiingia kwenye mashimo mashimo au barabara mbovu.

Mbasha Asenga's picture

Pinda, Waziri Mkuu muungwana au dhaifu


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 08 December 2010

UNAPOZUNGUMZA viongozi wakuu wa kitaifa nchini, unakusudia Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu kwa upande wa utawala, lakini pia yumo Jaji Mkuu kwa upande wa Mahakama na Spika wa Bunge kwa upande wa Bunge.

Yusuf Aboud's picture

Pinda kupandishwa kizimbani


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 17 March 2010

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda huenda akaburuzwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa, imefahamika. Hatua hiyo inaandaliwa na wakazi wa kijiji cha Mgusu, kata ya Mtakuja, Geita mkoani Mwanza

Mbasha Asenga's picture

Kumbe Pinda naye ana usanii


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 24 February 2010

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tabora mwishoni mwa wiki, alitoa kauli yenye utata alipokuwa kwenye jimbo la Igunga, ambalo mbunge wake ni Rostam Aziz.

Ndimara Tegambwage's picture

Pinda ametangaza 'umasikini'


Na Ndimara Tegambwage - Imechapwa 20 January 2010

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametangaza "umasikini" wake na hakuna aliyemwamini, ikiwa ni pamoja na yule aliyemuuliza swali.

Ezekiel Kamwaga's picture

Mizengo Pinda: Siamini katika mali


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 20 January 2010

NI takribani saa sita kasorobo, Alhamisi iliyopita. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda anaingia katika ukumbi wa mikutano wa ofisi yake, Magogoni, Dar es Salaam akiwa amevalia suti nyeusi maarufu kwa jina la "Kaunda."

Saed Kubenea's picture

Pinda akumbana na 'madudu' ya Lowassa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 13 January 2010

MABILIONI ya shilingi za walipa kodi, ambayo Edward Lowassa alishinikiza yalipwe kwa kampuni ya kutengeneza matairi ya General Tyre (GT), yameteketea.

Godlisten Malisa's picture

Mtoto wa mkulima ameanza kupoteza imani


Na Godlisten Malisa - Imechapwa 11 August 2009

NAANZA kuhofu kwamba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameanza kufuta ile imani ambayo Watanzania wengi walikuwa wamempa baada ya kujitambulisha kama mtoto wa mkulima, mara tu baada ya kuteuliwa kushikwa wadhifa huo Februari mwaka jana.

M. M. Mwanakijiji's picture

Pinda: La Mkapa limekushinda


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 30 June 2009

UTETEZI wa rais mstaafu wa Benjamin Mkapa ambao ulifanywa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akihitimisha mjadala wa bajeti ya ofisi yake, Ijumaa iliyopita, haukubaliki.

Saed Kubenea's picture

Nani atafuata nyayo za Pinda?


Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 February 2009

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mizengo Pinda, amejiandikia historia kwa kufanya mambo mawili makubwa.