Sitta
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Samwel Sitta

Spika Sitta ameweka viwango, mwingine nani?
BUNGE la kwanza la serikali ya Rais Jakaya Kikwete linamaliza muda wake wiki hii na kama kuna nafasi ambayo ilipewa maana mpya na Bunge hilo, basi ni ile ya Spika wa Bunge.

Sitta kung’olewa uspika
KUNA njama za kuwatoa “kafara” wabunge 15 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kusafisha njia ya urais wa Edward Lowassa, MwanaHALISI limeelezwa.

Sakata la Richmond: Sitta aachwe, abanwe Kikwete
KUNA viumbe viwili vya ajabu sana lakini kwa namna fulani vinafanana - kinyonga na kasuku. Kinyonga ameumbwa na uwezo wa kubadilika rangi kulingana na mazingira.

Sitta alivyogeuka 'jiwe la chumvi'
SABABU za Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta kuamuru bunge kufunga mjadala wa Richmond ni nyingi.

Richmond: Kufunga mjadala bungeni ni kukejeli umma
BUNGE la Jamhuri limetishwa. Spika Samwel Sitta “ameng’olewa meno” na kurejeshwa katika “dini” yake ya asili.

'Mitume kumi na mbili' imevuna au imepoteza?
- SAKATA LA RICHMOND
HOJA za msingi hazijajadiliwa. Watuhumiwa wa ufisadi wameendelea kupeta. Vidonda vya migawanyiko vilivyokuwa vipate tiba, vimeshindikana kupona.

Mpango wa kumfukuza Sitta waiva
KUMEKUCHA. Juhudi za kumfukuza Spika wa Bunge Samwel Sitta kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeanza upya, MwanaHALISI limeelezwa.

Nyumba ya Kikwete inaungua
KAMATI ya rais mstaafu Ali Hassani Mwinyi iliyoundwa kutafuta "kiini cha uhasama" miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), imezidisha nyongo.

Sakata la Posho mbili: Tatizo sheria zisizo za haki
NAOMBA kupanua mjadala kuhusu wabunge na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) juu ya dhana nzima ya utawala wa sheria.

Mkakati wasukwa kumwangusha Spika Sitta
BAADA ya kukwama kwa jaribio la kwanza la kumng'oa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta mjini Dodoma kupitia chama chake, sasa la pili linadaiwa kuandaliwa kwa ustadi.

Lowassa, Rostam, wamvaa Makamba
HATUA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba kwenda nyumbani kwa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta, imeudhi baadhi ya vigogo waandamizi wa chama hicho, MwanaHALISI limeelezwa.
Makamba ana ajenda gani?
YUSUPH Makamba, katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ana ajenda gani dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta?

Ni makosa kumhoji Spika nje ya Bunge
SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta amefanya kazi iliyowashinda watangulizi wake, Pius Msekwa na Sapi Adam Sapi.

Tunahitaji kinga ya kuvuana uanachama
KATIBA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) fungu la (1) Ibara ya 8(2) inatoa masharti ya mwanachama kwamba awe ni mtu anayefanya "juhudi ya kuelewa, kuieleza na kuitekeleza itikadi na siasa ya CCM."

Acha Spika afanye kazi
TANZANIA haihitaji watu wakamilifu, kwani hawapo duniani; haihitaji watu watakatifu, kwa kuwa hawako mbinguni; taifa hili halihitaji watu wasiokosea, hao nao hawapatikani; bali taifa linahitaji watu ambao wanajua mapungufu yao.

Wabaya wa Sitta wafichuka
- Maandalizi kumg'oa ya muda mrefu
- Kikwete alinong'onezwa mapema
NJAMA za kumng'oa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta ziliratibiwa na baadhi ya viongozi wa juu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limedokezwa.

Kikwete amtelekeza Sitta
- Aruhusu 'mafisadi' kumsulubu
- Mpasuko mkubwa CCM waja
RAIS Jakaya Kikwete ameshindwa kulinda hadhi ya Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta katika vikao vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma.

Sitta afanywa kondoo wa kafara
SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta ameshikiwa bango na wapinzani wake wa kisiasa wakishinikiza afukuzwe katika chama kutokana na msimamo wake wa "kujenga Bunge lenye kasi viwango."

Njama kumng'oa Spika Sitta zafichuka
- Genge lajipanga kutumia NEC
- Kikwete kuwekwa njia panda
NJAMA za kumwangamiza kisiasa Spika Samwel Sitta zimegundulika kabla waandaaji wake kuzifikisha kwenye vikao vya juu vya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limeelezwa.

Upishi wa kashfa utaathiri wengi
SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta ameiomba serikali kumwongezea ulinzi. Ni kutokana na vita kali inayooendeshwa na wabaya wake.

Vita vya makundi CCM vyamwandama Kikwete
- Mwakyembe amkomalia Chiligati
- Mkuchika kuvaana na Makamba
VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

Mgawanyiko CCM: Kikwete njiapanda
WABUNGE wenye msimamo kama wa mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe, na wale wenye msimamo kama wa Rostam Aziz, mbunge wa Igunga, hawawezi kubakia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wakati mmoja. Sharti wale wa msimamo mmoja watoke ili chama kinusurike.
Spika achia kombe lifunuliwe
MBUNGE anaiuliza serikali bungeni: Wale waliochukua fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) na wakazirejesha ni akina nani na upi msimamo wa serikali kwa sasa baada ya kitendo cha kuzirejesha fedha walizoiba?

Sitta, Kabwe na Slaa msirudi nyuma
TANGU serikali ya awamu ya nne itangaze bajeti yake ya mwaka 2007/08 haijawahi kupumzika dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi.

Sitta amsubiri Lowassa
SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta, anamsubiri aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, Edward Lowassa, ili kumjumuisha katika moja ya kamati za kudumu za Bunge, MwanaHALISI limeambiwa.