Sitta


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Samwel Sitta

Ezekiel Kamwaga's picture

Spika Sitta ameweka viwango, mwingine nani?


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 14 July 2010

BUNGE la kwanza la serikali ya Rais Jakaya Kikwete linamaliza muda wake wiki hii na kama kuna nafasi ambayo ilipewa maana mpya na Bunge hilo, basi ni ile ya Spika wa Bunge.

Saed Kubenea's picture

Sitta kung’olewa uspika


Na Saed Kubenea - Imechapwa 02 June 2010

Spika wa Bunge Samwel Sitta

KUNA njama za kuwatoa “kafara” wabunge 15 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kusafisha njia ya urais wa Edward Lowassa, MwanaHALISI limeelezwa.

M. M. Mwanakijiji's picture

Sakata la Richmond: Sitta aachwe, abanwe Kikwete


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 17 March 2010

KUNA viumbe viwili vya ajabu sana lakini kwa namna fulani vinafanana - kinyonga na kasuku. Kinyonga ameumbwa na uwezo wa kubadilika rangi kulingana na mazingira.

Saed Kubenea's picture

Sitta alivyogeuka 'jiwe la chumvi'


Na Saed Kubenea - Imechapwa 10 March 2010

Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta

SABABU za Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta kuamuru bunge kufunga mjadala wa Richmond ni nyingi.

Saed Kubenea's picture

Richmond: Kufunga mjadala bungeni ni kukejeli umma


Na Saed Kubenea - Imechapwa 03 March 2010

BUNGE la Jamhuri limetishwa. Spika Samwel Sitta “ameng’olewa meno” na kurejeshwa katika “dini” yake ya asili.

Saed Kubenea's picture

'Mitume kumi na mbili' imevuna au imepoteza?


Na Saed Kubenea - Imechapwa 24 February 2010

SAKATA LA RICHMOND

HOJA za msingi hazijajadiliwa. Watuhumiwa wa ufisadi wameendelea kupeta. Vidonda vya migawanyiko vilivyokuwa vipate tiba, vimeshindikana kupona.

Saed Kubenea's picture

Mpango wa kumfukuza Sitta waiva


Na Saed Kubenea - Imechapwa 03 February 2010

Spika wa Bunge Samwel Sitta

KUMEKUCHA. Juhudi za kumfukuza Spika wa Bunge Samwel Sitta kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeanza upya, MwanaHALISI limeelezwa.

Saed Kubenea's picture

Nyumba ya Kikwete inaungua


Na Saed Kubenea - Imechapwa 11 November 2009

Rais Jakaya Kikwete

KAMATI ya rais mstaafu Ali Hassani Mwinyi iliyoundwa kutafuta "kiini cha uhasama" miongoni mwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), imezidisha nyongo.

Bashiru Ally's picture

Sakata la Posho mbili: Tatizo sheria zisizo za haki


Na Bashiru Ally - Imechapwa 11 November 2009

Spika wa Bunge Samwel Sitta

NAOMBA kupanua mjadala kuhusu wabunge na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) juu ya dhana nzima ya utawala wa sheria.

Mwandishi Maalum's picture

Mkakati wasukwa kumwangusha Spika Sitta


Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 28 October 2009

Spika wa Bunge, Samwel Sitta

BAADA ya kukwama kwa jaribio la kwanza la kumng'oa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta mjini Dodoma kupitia chama chake, sasa la pili linadaiwa kuandaliwa kwa ustadi.

Mwandishi wetu's picture

Lowassa, Rostam, wamvaa Makamba


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 06 October 2009

Katibu Mkuu wa CCM, Yusuph Makamba

HATUA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba kwenda nyumbani kwa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta, imeudhi baadhi ya vigogo waandamizi wa chama hicho, MwanaHALISI limeelezwa.

Abel Ndekirwa's picture

Makamba ana ajenda gani?


Na Abel Ndekirwa - Imechapwa 29 September 2009

YUSUF Makamba

YUSUPH Makamba, katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ana ajenda gani dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta?

Alloyce Komba's picture

Ni makosa kumhoji Spika nje ya Bunge


Na Alloyce Komba - Imechapwa 22 September 2009

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta amefanya kazi iliyowashinda watangulizi wake, Pius Msekwa na Sapi Adam Sapi.

John Kibasso's picture

Tunahitaji kinga ya kuvuana uanachama


Na John Kibasso - Imechapwa 15 September 2009

KATIBA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) fungu la (1) Ibara ya 8(2) inatoa masharti ya mwanachama kwamba awe ni mtu anayefanya "juhudi ya kuelewa, kuieleza na kuitekeleza itikadi na siasa ya CCM."

M. M. Mwanakijiji's picture

Acha Spika afanye kazi


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 01 September 2009

TANZANIA haihitaji watu wakamilifu, kwani hawapo duniani; haihitaji watu watakatifu, kwa kuwa hawako mbinguni; taifa hili halihitaji watu wasiokosea, hao nao hawapatikani; bali taifa linahitaji watu ambao wanajua mapungufu yao.

Saed Kubenea's picture

Wabaya wa Sitta wafichuka


Na Saed Kubenea - Imechapwa 25 August 2009

Maandalizi kumg'oa ya muda mrefu
Kikwete alinong'onezwa mapema
Samwel Sitta

NJAMA za kumng'oa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta ziliratibiwa na baadhi ya viongozi wa juu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limedokezwa.

Mwandishi Maalum's picture

Kikwete amtelekeza Sitta


Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 18 August 2009

Aruhusu 'mafisadi' kumsulubu
Mpasuko mkubwa CCM waja
RAIS Jakaya Kikwete

RAIS Jakaya Kikwete ameshindwa kulinda hadhi ya Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta katika vikao vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma.

Saed Kubenea's picture

Sitta afanywa kondoo wa kafara


Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 August 2009

SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta

SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta ameshikiwa bango na wapinzani wake wa kisiasa wakishinikiza afukuzwe katika chama kutokana na msimamo wake wa "kujenga Bunge lenye kasi viwango."

Saed Kubenea's picture

Njama kumng'oa Spika Sitta zafichuka


Na Saed Kubenea - Imechapwa 11 August 2009

Genge lajipanga kutumia NEC
Kikwete kuwekwa njia panda
Mtuhumiwa kashfa ya Richmond na Spika wa Bunge

NJAMA za kumwangamiza kisiasa Spika Samwel Sitta zimegundulika kabla waandaaji wake kuzifikisha kwenye vikao vya juu vya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limeelezwa.

Aristariko Konga's picture

Upishi wa kashfa utaathiri wengi


Na Aristariko Konga - Imechapwa 04 August 2009

SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta

SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta ameiomba serikali kumwongezea ulinzi. Ni kutokana na vita kali inayooendeshwa na wabaya wake.

Saed Kubenea's picture

Vita vya makundi CCM vyamwandama Kikwete


Na Saed Kubenea - Imechapwa 07 April 2009

Mwakyembe amkomalia Chiligati
Mkuchika kuvaana na Makamba
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Dk. Harrison Mwakyemb

VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

M. M. Mwanakijiji's picture

Mgawanyiko CCM: Kikwete njiapanda


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 25 March 2009

WABUNGE wenye msimamo kama wa mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe, na wale wenye msimamo kama wa Rostam Aziz, mbunge wa Igunga, hawawezi kubakia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wakati mmoja. Sharti wale wa msimamo mmoja watoke ili chama kinusurike.

editor's picture

Spika achia kombe lifunuliwe


Na editor - Imechapwa 11 February 2009

MBUNGE anaiuliza serikali bungeni: Wale waliochukua fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) na wakazirejesha ni akina nani na upi msimamo wa serikali kwa sasa baada ya kitendo cha kuzirejesha fedha walizoiba?

Isaac Kimweri's picture

Sitta, Kabwe na Slaa msirudi nyuma


Na Isaac Kimweri - Imechapwa 08 April 2008

Dk. Willibrod Slaa, Katibu Mkuu CHADEMA

TANGU serikali ya awamu ya nne itangaze bajeti yake ya mwaka 2007/08 haijawahi kupumzika dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi.

Saed Kubenea's picture

Sitta amsubiri Lowassa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 March 2008

SPIKA wa Bunge, Samwel Sitta, anamsubiri aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, Edward Lowassa, ili kumjumuisha katika moja ya kamati za kudumu za Bunge, MwanaHALISI limeambiwa.