Sophia
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Sophia Simba

Akili ya Sofia haiwezi kuwaza zaidi ya ngono!
KUNA dhana iliyojengwa kwamba watu wenye fikra nyepesi hujadili watu; wenye fikra za kati hujadili matukio na wale wenye fikra pevu hujadili dhana au tuseme mawazo.

Si kashfa ya Sophia Simba pekee...
- Ni kielelezo cha uoza wa serikali nzima
SERIKALI imeangukia pua bungeni. Ni Jumamosi iliyopita baada ya Bunge kuukataa muswada wa sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 2009 baada ya kubainisha mapungufu mengi ambayo ni ya ukiukaji wa katiba.

Kikwete si busara kulea akina Sophia
WIKI iliyopita nilieleza sababu za kutoswa kwa baadhi ya mawaziri wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete kuwa ni pamoja na kushindwa kwao kuwajibika ipasavyo kwa majukumu waliyopewa.

Sophia Simba ajiundia kitanzi
KITANZI ambacho Sophia Simba, mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) anasuka ili “kunyongea” wabunge wa viti maalum, huenda kikaanzia kwake.

Wanawake UWT wavuana nguo
- Waziri Sophia Simba aongoza mashambulizi
- Apuuza na kukejeli ujumbe wa Rais Kikwete
KIKAO cha Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake (UWT) kilichofanyika Dodoma wiki iliyopita, kiliishia kuwa cha matusi ya nguoni yaliyoongozwa na Waziri wa Utawala Bora, Sophia Simba.
Sophia Simba ametufumbua macho
UKIMUWEKA mwanaharamu kwenye chupa, atatoa kidole. Hii imejidhihirisha juzi kwenye mkutano wa kamati ya mipasuko ya ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyoongozwa na rais mstaafu mzee Ali Hassan Mwinyi mjini Dodoma.

Sophia Simba zao la mafisadi?
SOPHIA Simba, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora, amemtuhumu Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, akisema hana haki ya kutaja “mafisadi papa.”

Uchaguzi UWT: Kambi za 2005 hazijavunjwa
INAWEZEKANA RAIS Jakaya Kikwete amevunja kambi yake ya wakati wa uchaguzi mwaka 2005, lakini ameivunjia rohoni mwake.
Inasadikika ni rohoni mwake kwa kuwa wale waliokuwa wapambe wake wanaonekana kuwa bado wana donge la mwaka 2005.

Moto wawaka UWT
- Ni vita vya wanamtandao maslahi, matumaini
- Anne Kilango Malecela: Huko mimi simo
VIGOGO wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameshika koo, kuwania nafasi ya mwenyekiti wa umoja huo, imeelezwa.

Mafisadi hawanitishi - Kilango
"SITISHIKI. Siogopi vitisho. Sikuja hapa kutumikia maslahi binafsi. Niko hapa kutetea nchi yangu na chama changu. Wanaodhani wanaweza kunirudisha nyuma kwa kutumia vitisho, hao hakika hawanifahamu."

Aliyechukua serikali ya Kikwete airudishe
KUNA kila dalili kwamba serikali ya Rais Jakaya Kikwete imeelemewa. Wananchi wanauliza, "Mbona serikali yetu inakwenda kama imechukuliwa na msukule!"