Sophia


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Sophia Simba

Mwandishi wetu's picture

MwanaHALISI lakabwa tena


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 14 July 2010

Waziri ofisi ya Rais, Utawala Bora, Sofia Simba

GAZETI la MwanaHALISI linalochapishwa kila Jumatano, limeingia matatani tena.

Mbasha Asenga's picture

Akili ya Sofia haiwezi kuwaza zaidi ya ngono!


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 30 June 2010

Sophia Simba, Waziri wa Maendeleo ya  Jamii, Jinsia na Watoto

KUNA dhana iliyojengwa kwamba watu wenye fikra nyepesi hujadili watu; wenye fikra za kati hujadili matukio na wale wenye fikra pevu hujadili dhana au tuseme mawazo.

Mwandishi wetu's picture

Si kashfa ya Sophia Simba pekee...


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 03 February 2010

Ni kielelezo cha uoza wa serikali nzima
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora,  Sophia Simba

SERIKALI imeangukia pua bungeni. Ni Jumamosi iliyopita baada ya Bunge kuukataa muswada wa sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 2009 baada ya kubainisha mapungufu mengi ambayo ni ya ukiukaji wa katiba.

Mbasha Asenga's picture

Kikwete si busara kulea akina Sophia


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 02 December 2009

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Sophia Simba

WIKI iliyopita nilieleza sababu za kutoswa kwa baadhi ya mawaziri wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete kuwa ni pamoja na kushindwa kwao kuwajibika ipasavyo kwa majukumu waliyopewa.

Mwandishi wetu's picture

Sophia Simba ajiundia kitanzi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 02 December 2009

KITANZI ambacho Sophia Simba, mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) anasuka ili “kunyongea” wabunge wa viti maalum, huenda kikaanzia kwake.

Saed Kubenea's picture

Wanawake UWT wavuana nguo 


Na Saed Kubenea - Imechapwa 25 November 2009

Waziri Sophia Simba aongoza mashambulizi
Apuuza na kukejeli ujumbe wa Rais Kikwete
Waziri wa Utawala Bora, Sophia Simba

KIKAO cha Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake (UWT) kilichofanyika Dodoma wiki iliyopita, kiliishia kuwa cha matusi ya nguoni yaliyoongozwa na Waziri wa Utawala Bora, Sophia Simba.

Nkwazi Mhango's picture

Sophia Simba ametufumbua macho


Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 18 November 2009

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Sophia Simba

UKIMUWEKA mwanaharamu kwenye chupa, atatoa kidole. Hii imejidhihirisha juzi kwenye mkutano wa kamati ya mipasuko ya ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), iliyoongozwa na rais mstaafu mzee Ali Hassan Mwinyi mjini Dodoma.

Mbasha Asenga's picture

Sophia Simba zao la mafisadi?


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 28 April 2009

SOPHIA Simba, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Utawala Bora, amemtuhumu Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, akisema hana haki ya kutaja “mafisadi papa.”

Saed Kubenea's picture

Uchaguzi UWT: Kambi za 2005 hazijavunjwa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 23 September 2008

Mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba

INAWEZEKANA RAIS Jakaya Kikwete amevunja kambi yake ya wakati wa uchaguzi mwaka 2005, lakini ameivunjia rohoni mwake.

Inasadikika ni rohoni mwake kwa kuwa wale waliokuwa wapambe wake wanaonekana kuwa bado wana donge la mwaka 2005.

Mwandishi wetu's picture

Moto wawaka UWT


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 24 June 2008

Ni vita vya wanamtandao maslahi, matumaini
Anne Kilango Malecela: Huko mimi simo
Sophia Simba, Waziri wa Maendeleo ya  Jamii, Jinsia na Watoto

VIGOGO wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameshika koo, kuwania nafasi ya mwenyekiti wa umoja huo, imeelezwa.

Mwandishi wetu's picture

Mafisadi hawanitishi - Kilango


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 24 June 2008

Anne Kilango Malecela

"SITISHIKI. Siogopi vitisho. Sikuja hapa kutumikia maslahi binafsi. Niko hapa kutetea nchi yangu na chama changu. Wanaodhani wanaweza kunirudisha nyuma kwa kutumia vitisho, hao hakika hawanifahamu."

Boniphace Kamalamo's picture

Aliyechukua serikali ya Kikwete airudishe


Na Boniphace Kamalamo - Imechapwa 06 May 2008

Waziri Sophia Simba

KUNA kila dalili kwamba serikali ya Rais Jakaya Kikwete imeelemewa. Wananchi wanauliza, "Mbona serikali yetu inakwenda kama imechukuliwa na msukule!"