Sumaye
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Frederick Sumaye

Sumaye apembua UV-CCM
- Asema wametumwa kuua chama
WAZIRI mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema hakuna wa kumzuia kugombea urais, iwapo ataamua kufanya hivyo na kwamba rais ajaye aweza kutoka popote katika Jamhuri ya Muungano.

Sumaye kasema kweli: CCM wajibu hoja za kisiasa
WAZIRI mkuu mstaafu, Fredick Sumaye amekirejesha darasani chama chake – Chama Cha Mapinduzi (CCM). Sumaye anaamini CCM hakijahitimu au kimepotea njia. Anataka kisome upya ili hatimaye kiweze kutunukiwa cheti cha ushindani katika mfumo wa vyama vingi.

Sumaye agoma kumchafua Slaa
WAZIRI mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ameingia katika kampeni za mgombea urais wa chama chake kwa sharti la kutomchafua Dk. Willibrod Slaa.

Mkapa, Malecela, Sumaye wamkimbia Kikwete
VIGOGO waastafu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali, wamekacha kampeni za mgombea urais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

Sumaye aliifukuza Richmond
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, alimfukuza ofisini kwake Mohamed Gire, anayedaiwa kuwa ni mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya Richmond Development Company (LLC), baada ya kutilia shaka uwezo wake kama mwekezaji mwaka 2001, imefahamika.

CCM kimbilio la hata wahalifu wadogowadogo
'UKITAKA mambo yako yaende vyema ingia CCM,' alisema Waziri Mkuu wa Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kwenye mkutano wa hadhara mkoani Singida mwaka 1997.