Sumaye


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Frederick Sumaye

Mwandishi wetu's picture

Sumaye aliifukuza Richmond


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 18 November 2009

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, alimfukuza ofisini kwake Mohamed Gire, anayedaiwa kuwa ni mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya Richmond Development Company (LLC), baada ya kutilia shaka uwezo wake kama mwekezaji mwaka 2001, imefahamika.

Stanislaus Kirobo's picture

CCM kimbilio la hata wahalifu wadogowadogo


Na Stanislaus Kirobo - Imechapwa 22 July 2008

'UKITAKA mambo yako yaende vyema ingia CCM,' alisema Waziri Mkuu wa Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kwenye mkutano wa hadhara mkoani Singida mwaka 1997.