Sumaye
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Frederick Sumaye

Sumaye aliifukuza Richmond
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, alimfukuza ofisini kwake Mohamed Gire, anayedaiwa kuwa ni mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya Richmond Development Company (LLC), baada ya kutilia shaka uwezo wake kama mwekezaji mwaka 2001, imefahamika.

CCM kimbilio la hata wahalifu wadogowadogo
'UKITAKA mambo yako yaende vyema ingia CCM,' alisema Waziri Mkuu wa Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kwenye mkutano wa hadhara mkoani Singida mwaka 1997.