Warioba
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Joseph Warioba

Kikwete amtosa Warioba
CCM Trust ni moja ya makampuni manne yanayounda kampuni ya Mwananchi Trust Limited yenye hisa katika kampuni ya Mwananchi Gold Limited (MGL) ya Dar es Salaam.
Warioba anajua sheria si ufisadi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Joseph Sinde Warioba sasa ameibua mjadala mpya. Akiongea kwenye hafla ya uzinduzi wa mpango wa miaka mitano wa chama cha majaji wastaafu, Jaji Warioba alisema mambo mawili.

Hatma ya Warioba mikononi mwa JK
- Mashata dhidi yake yaiva
SERIKALI inakamilisha taratibu za kumfikisha mahakamani Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, MwanaHALISI limegundua.

Jaji Warioba asitetee mafisadi
FIKIRIA hili. Wewe ni mwenye nyumba. Siku moja, wakati umelala fofofo, majambazi yanaingia ndani na kusomba kila kitu. Baada ya muda mfupi, unaamshwa na minyukano ya majambazi hayo, yakitwangana baada ya kuhitilafiana juu ya mgawo wa kile yalichopora.

Celtel lawamani
UONGOZI wa kampuni ya Celtel International jijini Dar es Salaam, umeshindwa kujibu tuhuma zinazoukabili kuhusu kutumia mali za TTCL kujiimarisha.