Slaa
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Wilibroad Slaa
JK bingwa wa kufanya kinyume
NAWASHUKURU wapenzi wasomaji wa safu hii kwa maoni yao. Baadhi walinipigia simu na wengine, kama ilivyo ada, walinitumia ujumbe mfupi wa simu.

Kumbe CCM ni chui wa karatasi?
KWANZA alianza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa, Julai mwaka huu, Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ilipomuomba na kupendekeza Katibu Mkuu wake, Dk. Willibrod Slaa, agombee urais.

Lugha moja, watu tofauti
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa na mwenzake wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba wanazungumza lugha inayofanana wakati huu wa kampeni.

Dk. Slaa atibua CCM
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema CCM haijawahi kuwa na ubunifu na uadilifu.

CCM wajipanga kumzuia Dk. Slaa
- Waandaa mamluki ‘kumdhamini’
- Waomba msaada wa vyama vidogo
MKAKATI umesukwa na viongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuzima safari ya Dk. Willibrod Slaa kwenda ikulu, MwanaHALISI limeelezwa.

CCM wanamhitaji Dk. Slaa
UTEUZI wa Dk. Willibrod Peter Slaa kugombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) una mambo mengi yanayohitaji tafakuri kwa manufaa ya Watanzania wote.

Kauli za wananchi juu ya mgombea urais wa CHADEMA
Ufuatao ni mrejesho wa baadhi ya wasomaji 417 waliotutumia ‘sms’ juu ya mwandishi, maudhui ya makala na somo lenyewe – Dk. Willibrod Slaa.

Ushindi wa Dk. Slaa kuimarisha Bunge
- Mahasimu waweza kuwa upinzani
- Wakongwe waaga kwa msononeko
USHINDI wa Dk. Willibrod Slaa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, ndio pekee unaoweza kumaliza mivutano iliyokumba bunge lililopita, MwanaHALISI imebaini.

Tunataka mdahalo wa wagombea urais
KATIKA nchi zilizoendelea, jambo moja dogo linaweza kuharibu kabisa nafasi ya mgombea wa nafasi ya juu ya uongozi.

Makombora ya Dk. Slaa haya
UTEUZI wa Dk. Willibrod Slaa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, "unamweka pabaya" Rais Jakaya Kikwete ambaye anatetea nafasi hiyo kwa muhula wa pili, MwanaHALISI limeelezwa.

Msimu wa mashushu huu hapa
MSIMU wa mashushushu umewadia. Ni uzushi mtupu. Ni kupakazia. Ni utapeli uliokaangwa kwa mafuta masalia; chakula chake kina harufu sabini. Sasa mlaji ajue anakula nini?

Dk. Slaa kweli aweza kumshinda Kikwete?
JAWABU la swali hilo hapo juu linalobeba kichwa cha habari, kwa hakika, linategemea ni nani unamuuliza.

Rais Kikwete aumbuka
KUMBE Rais Jakaya Kikwete hakusoma sheria aliyosaini kwa mbwembe. Sasa baada ya kugundua kasoro zake anataka ikarabatiwe kwa njia ya kanuni, MwanaHALISI limeelezwa.

CCM yaogopa ukweli wa Dk. Slaa
ALIPOKUJA na orodha ya walioitwa "watafuna nchi," ambayo iliwaacha uchi karibu vigogo wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wenye akili walitia akilini.

Mwanangu anatumiwa – Mama Zitto
SHIDA Salum, mama mzazi wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka na kusema mwanaye anatumiwa kukivuruga chama chake.

CHADEMA yatambia ushindi: Yasuta CCM kutumia silaha kupiga kura
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa anasema chama chake hakikushindwa uchaguzi. Anasema kimeshinda, tena kimepata ushindi mkubwa.

Waziri Masha hasemi ukweli
SAKATA la mradi wa vitambulisho vya taifa, wenye thamani ya Sh. 200 bilioni bado halijafa. Waziri Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, wala hajajibu hoja za wabunge na umma kwa jumla, juu ya kilichosababisha mradi huo kukwama.

Dk. Slaa aweka serikali njiapanda
SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iko njiapanda. Kambi ya upinzani bungeni imeonya kuwa isipopewa majibu sahihi kwa hoja zake, itaifikisha serikali "kizimbani".
Mwacheni Dk. Slaa
TANGU afichue dhambi ya mapato makubwa ya wabunge, Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa amekuwa akisakamwa na wabunge wenzake.

Wabunge 'wakwepa' kodi
WABUNGE wa Bunge la Tanzania hawalipi kodi ya mapato katika posho zao zote wanazolipwa zinazokaribia mara tano ya mshahara wao, imefahamika.

Dk. Slaa ataka CCM isiingilie Bunge
BUNGE limemaliza mkutano wake wa 14 bila kujadili hoja ya Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa (CHADEMA), kuhusu Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha kuingilia mchakato wa zabuni ya vitambulisho vya taifa. Mwandishi Wetu alifanya mahojiano na Dk. Slaa juu ya hoja yake.

TBC1 ilivyojikwaa kwa Dk. Slaa
- Uvumi na siasa za njiapanda
VYOMBO vya habari – kwa mfano magazeti, redio na televisheni – vikifungwa au vikinyamaza, ni wapi wananchi watakimbilia kupata taarifa sahihi?

'Siri za serikali' zinalenga kulea ufisadi
MBUNGE wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa alipouliza bungeni wiki iliyopita, nini hasa 'siri za serikali,' kulizuka hofu. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera), Philip Marmo, hakujibu ila alitisha wabunge.

Dk. Slaa: Nimeshinda mafisadi
"HUU si ushindi wangu binafsi, bali ni ushindi wa Watanzania. Ni ushindi wa wazalendo wa nchi hii, dhidi ya mafisadi. Hakika, huu ni ushindi wa wananchi wazalendo wa kweli katika taifa lao.

Serikali ilete ajenda yake
SERIKALI ya awamu ya nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, inaonekana imekuwa katika kifungo cha fikra kwa kipindi chote cha mwaka wa fedha wa 2007/08. Imeshindwa kujitoa katika ajenda iliyoasisiwa na wapinzani.

Sitta, Kabwe na Slaa msirudi nyuma
TANGU serikali ya awamu ya nne itangaze bajeti yake ya mwaka 2007/08 haijawahi kupumzika dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi.