Slaa


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Wilibroad Slaa

Joster Mwangulumbi's picture

JK bingwa wa kufanya kinyume


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 01 September 2010

NAWASHUKURU wapenzi wasomaji wa safu hii kwa maoni yao. Baadhi walinipigia simu na wengine, kama ilivyo ada, walinitumia ujumbe mfupi wa simu.

Mbasha Asenga's picture

Kumbe CCM ni chui wa karatasi?


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 01 September 2010

KWANZA alianza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa, Julai mwaka huu, Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ilipomuomba na kupendekeza Katibu Mkuu wake, Dk. Willibrod Slaa, agombee urais.

Ezekiel Kamwaga's picture

Lugha moja, watu tofauti


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 01 September 2010

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa na mwenzake wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba wanazungumza lugha inayofanana wakati huu wa kampeni.

Ezekiel Kamwaga's picture

Dk. Slaa atibua CCM


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 25 August 2010

Dk. Willibrod Slaa

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema CCM haijawahi kuwa na ubunifu na uadilifu.

Saed Kubenea's picture

CCM wajipanga kumzuia Dk. Slaa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 August 2010

Waandaa mamluki ‘kumdhamini’
Waomba msaada wa vyama vidogo
Dk. Willibrod Slaa

MKAKATI umesukwa na viongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuzima safari ya Dk. Willibrod Slaa kwenda ikulu, MwanaHALISI limeelezwa.

Mwandishi Maalum's picture

CCM wanamhitaji Dk. Slaa


Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 04 August 2010

UTEUZI wa Dk. Willibrod Peter Slaa kugombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) una mambo mengi yanayohitaji tafakuri kwa manufaa ya Watanzania wote.

NdimaraTegambwage's picture

Kauli za wananchi juu ya mgombea urais wa CHADEMA


Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 04 August 2010

Dk. Willibrod Slaa

Ufuatao ni mrejesho wa baadhi ya wasomaji 417 waliotutumia ‘sms’ juu ya mwandishi, maudhui ya makala na somo lenyewe – Dk. Willibrod Slaa.

Mwandishi wetu's picture

Ushindi wa Dk. Slaa kuimarisha Bunge


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 04 August 2010

Mahasimu waweza kuwa upinzani
Wakongwe waaga kwa msononeko
Dk. Willibrod Slaa

USHINDI wa Dk. Willibrod Slaa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, ndio pekee unaoweza kumaliza mivutano iliyokumba bunge lililopita, MwanaHALISI imebaini.

Ezekiel Kamwaga's picture

Tunataka mdahalo wa wagombea urais


Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 04 August 2010

Mgombea Urais kupitia CCM, Jakaya Kikwete

KATIKA nchi zilizoendelea, jambo moja dogo linaweza kuharibu kabisa nafasi ya mgombea wa nafasi ya juu ya uongozi.

Saed Kubenea's picture

Makombora ya Dk. Slaa haya


Na Saed Kubenea - Imechapwa 28 July 2010

Dk. Willibrod Slaa

UTEUZI wa Dk. Willibrod Slaa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, "unamweka pabaya" Rais Jakaya Kikwete ambaye anatetea nafasi hiyo kwa muhula wa pili, MwanaHALISI limeelezwa.

NdimaraTegambwage's picture

Msimu wa mashushu huu hapa


Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 28 July 2010

MSIMU wa mashushushu umewadia. Ni uzushi mtupu. Ni kupakazia. Ni utapeli uliokaangwa kwa mafuta masalia; chakula chake kina harufu sabini. Sasa mlaji ajue anakula nini?

M. M. Mwanakijiji's picture

Dk. Slaa kweli aweza kumshinda Kikwete?


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 28 July 2010

Dk. Willibrod Slaa

JAWABU la swali hilo hapo juu linalobeba kichwa cha habari, kwa hakika, linategemea ni nani unamuuliza.

Saed Kubenea's picture

Rais Kikwete aumbuka


Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010

Rais Jakaya Kikwete

KUMBE Rais Jakaya Kikwete hakusoma sheria aliyosaini kwa mbwembe. Sasa baada ya kugundua kasoro zake anataka ikarabatiwe kwa njia ya kanuni, MwanaHALISI limeelezwa.

Mwandishi Maalum's picture

CCM yaogopa ukweli wa Dk. Slaa


Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 30 December 2009

Dk. Wilibroad Slaa

ALIPOKUJA na orodha ya walioitwa "watafuna nchi," ambayo iliwaacha uchi karibu vigogo wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wenye akili walitia akilini.

Mwandishi wetu's picture

Mwanangu anatumiwa – Mama Zitto


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 18 November 2009

SHIDA Salum, mama mzazi wa Zitto Kabwe

SHIDA Salum, mama mzazi wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka na kusema mwanaye anatumiwa kukivuruga chama chake.

Mwandishi wetu's picture

CHADEMA yatambia ushindi: Yasuta CCM kutumia silaha kupiga kura


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 04 November 2009

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa anasema chama chake hakikushindwa   uchaguzi. Anasema kimeshinda, tena kimepata ushindi mkubwa.

Saed Kubenea's picture

Waziri Masha hasemi ukweli


Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 July 2009

SAKATA la mradi wa vitambulisho vya taifa, wenye thamani ya Sh. 200 bilioni bado halijafa. Waziri Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, wala hajajibu hoja za wabunge na umma kwa jumla, juu ya kilichosababisha mradi huo kukwama.

Mwandishi wetu's picture

Dk. Slaa aweka serikali njiapanda


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 23 June 2009

SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iko njiapanda. Kambi ya upinzani bungeni imeonya kuwa isipopewa majibu sahihi kwa hoja zake, itaifikisha serikali "kizimbani".

editor's picture

Mwacheni Dk. Slaa


Na editor - Imechapwa 28 April 2009

TANGU afichue dhambi ya mapato makubwa ya wabunge, Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa amekuwa akisakamwa na wabunge wenzake.

Mwandishi wetu's picture

Wabunge 'wakwepa' kodi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 14 April 2009

WABUNGE wa Bunge la Tanzania hawalipi kodi ya mapato katika posho zao zote wanazolipwa zinazokaribia mara tano ya mshahara wao, imefahamika.

Mwandishi wetu's picture

Dk. Slaa ataka CCM isiingilie Bunge


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 18 February 2009

BUNGE limemaliza mkutano wake wa 14 bila kujadili hoja ya Mbunge wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa (CHADEMA), kuhusu Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha kuingilia mchakato wa zabuni ya vitambulisho vya taifa. Mwandishi Wetu alifanya mahojiano na Dk. Slaa juu ya hoja yake.

NdimaraTegambwage's picture

TBC1 ilivyojikwaa kwa Dk. Slaa


Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 29 July 2008

Uvumi na siasa za njiapanda
Dk. Willibrod Slaa

VYOMBO vya habari – kwa mfano magazeti, redio na televisheni – vikifungwa au vikinyamaza, ni wapi wananchi watakimbilia kupata taarifa sahihi?

Stanislaus Kirobo's picture

'Siri za serikali' zinalenga kulea ufisadi


Na Stanislaus Kirobo - Imechapwa 01 July 2008

MBUNGE wa Karatu, Dk. Willibrod Slaa alipouliza bungeni wiki iliyopita, nini hasa 'siri za serikali,' kulizuka hofu. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera), Philip Marmo, hakujibu ila alitisha wabunge.

Mwandishi wetu's picture

Dk. Slaa: Nimeshinda mafisadi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 20 May 2008

Dk.  Willibrod Slaa

"HUU si ushindi wangu binafsi, bali ni ushindi wa Watanzania. Ni ushindi wa wazalendo wa nchi hii, dhidi ya mafisadi. Hakika, huu ni ushindi wa wananchi wazalendo wa kweli katika taifa lao.

Mbasha Asenga's picture

Serikali ilete ajenda yake


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 13 May 2008

SERIKALI ya awamu ya nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, inaonekana imekuwa katika kifungo cha fikra kwa kipindi chote cha mwaka wa fedha wa 2007/08. Imeshindwa kujitoa katika ajenda iliyoasisiwa na wapinzani.

Isaac Kimweri's picture

Sitta, Kabwe na Slaa msirudi nyuma


Na Isaac Kimweri - Imechapwa 08 April 2008

Dk. Willibrod Slaa, Katibu Mkuu CHADEMA

TANGU serikali ya awamu ya nne itangaze bajeti yake ya mwaka 2007/08 haijawahi kupumzika dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi.