Wangwe


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Chacha Wangwe

Mbasha Asenga's picture

CCM watamani Wangwe awaokoe Tarime


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 30 September 2008

Marehemu Chacha Zakayo Wangwe

VYAMA vya siasa vinavyowania ubunge wa jimbo la Tarime vipo katika kampeni ya kunadi wagombea wake ili wapate ridhaa ya wananchi kuchukua kiti hicho. Jimbo hilo limetokea kuwa moja ya majimbo yenye ushindani mkali wa kisiasa nchini.

Jabir Idrissa's picture

Uchonganishi Tarime hapana!


Na Jabir Idrissa - Imechapwa 30 September 2008

WATANZANIA wilayani Tarime wanasubiri uchaguzi mdogo ili kujaza nafasi za wawakilishi wao katika udiwani na ubunge. Kifo cha Chacha Zakayo Wangwe, aliyekuwa na nafasi hizo, ndio chimbuko la uchaguzi huo.

Mbasha Asenga's picture

Hila za mafisadi kutumia kifo cha Wangwe zimeshindwa


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 05 August 2008

Marehemu Chacha Zakayo Wangwe

WIKI iliyopita, Watanzania hususani wananchi wa jimbo la Tarime na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), walipatwa na msiba wa mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe,

Saed Kubenea's picture

Kifo cha Wangwe: Msiba wa CHADEMA mikononi mwa CCM


Na Saed Kubenea - Imechapwa 05 August 2008

KITENDAWILI kuhusiana na kilichosababisha kifo cha mbunge wa Tarime, mkoani Mara, Chacha Zakayo Wangwe (CHADEMA), bado hakijateguliwa.

Mwandishi wetu's picture

Wangwe ahusishwa na Dk. Kabourou


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 01 July 2008

Yadaiwa ni mkakati wa CCM
MAKAMU  mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chacha Wangwe

MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chacha Wangwe, 'amejiweka kitanzi' kutokana na kukaidi ushauri aliopewa na Kamati ya Wazee ya chama hicho