Wangwe
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Chacha Wangwe

CCM watamani Wangwe awaokoe Tarime
VYAMA vya siasa vinavyowania ubunge wa jimbo la Tarime vipo katika kampeni ya kunadi wagombea wake ili wapate ridhaa ya wananchi kuchukua kiti hicho. Jimbo hilo limetokea kuwa moja ya majimbo yenye ushindani mkali wa kisiasa nchini.

Uchonganishi Tarime hapana!
WATANZANIA wilayani Tarime wanasubiri uchaguzi mdogo ili kujaza nafasi za wawakilishi wao katika udiwani na ubunge. Kifo cha Chacha Zakayo Wangwe, aliyekuwa na nafasi hizo, ndio chimbuko la uchaguzi huo.

Hila za mafisadi kutumia kifo cha Wangwe zimeshindwa
WIKI iliyopita, Watanzania hususani wananchi wa jimbo la Tarime na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), walipatwa na msiba wa mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe,

Kifo cha Wangwe: Msiba wa CHADEMA mikononi mwa CCM
KITENDAWILI kuhusiana na kilichosababisha kifo cha mbunge wa Tarime, mkoani Mara, Chacha Zakayo Wangwe (CHADEMA), bado hakijateguliwa.

Wangwe ahusishwa na Dk. Kabourou
- Yadaiwa ni mkakati wa CCM
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chacha Wangwe, 'amejiweka kitanzi' kutokana na kukaidi ushauri aliopewa na Kamati ya Wazee ya chama hicho