Zitto


Mlolongo wa Habari zinazomhusu Zitto Kabwe

Mwandishi wetu's picture

Zitto na kauli tata


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 13 January 2010

Zitto Kabwe

MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameibua mjadala mwingine. Anasema siasa halikuwa "chaguo la kwanza" katika maisha yake.

Nkwazi Mhango's picture

Zitto Kabwe: Kumbikumbi huruka na kuliwa na kunguru


Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 23 December 2009

Zitto Zuberi Kabwe

ZITTO Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini, amekiri kumpa magari matatu ofisa habari za zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), David Kafulila.

Saed Kubenea's picture

Siri za Zitto nje


Na Saed Kubenea - Imechapwa 09 December 2009

Mawasiliano yake yanaswa
Aponzwa na mwandishi wa habari
Zitto Kabwe

SIRI kubwa kuhusu mwenendo wa Zitto Kabwe (Mb) ndani ya chama chake zimeanikwa mitaani na zinaweza kumzamisha kisiasa, MwanaHALISI sasa linaweza kuripoti.

NdimaraTegambwage's picture

CHADEMA: Chuki na visasi vya mawifi


Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 02 December 2009

JUHUDI za ndani kwa ndani za kuzamisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huenda zikagonga mwamba. Lakini zinaendelea.

Mwandishi wetu's picture

Mwanangu anatumiwa – Mama Zitto


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 18 November 2009

SHIDA Salum, mama mzazi wa Zitto Kabwe

SHIDA Salum, mama mzazi wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka na kusema mwanaye anatumiwa kukivuruga chama chake.

Saed Kubenea's picture

Kampeni ya Zitto ilifadhiliwa na nani?


Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 September 2009

MKUTANO Mkuu wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umemalizika kwa Freeman Mbowe kuendelea kukalia kiti cha mwenyekiti.

Mwandishi wetu's picture

Siri ya Zitto yafichuka


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 01 September 2009

Zitto Kabwe

SIRI ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe kuondoa jina lake katika kinyang’anyiro cha uenyekiti wa chama chake imejulikana.

Mbasha Asenga's picture

Uasi wa wabunge kwa mawaziri ni halali


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 30 June 2009

KUNA burudani ya aina yake bungeni. Baadhi ya wabunge wameshika makoo ya mawaziri kama vile uchaguzi mkuu unafanyika mwaka huu, si mwaka kesho.

Saed Kubenea's picture

Ngeleja sasa amwacha Zitto ulingoni


Na Saed Kubenea - Imechapwa 25 March 2009

SAKATA LA DOWANS
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja

HITIMISHO la mjadala wa ununuzi wa mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans Holding (Tanzania) Limited, bado halijafikiwa.

M. M. Mwanakijiji's picture

Zitto amejikwaa, hajaanguka


Na M. M. Mwanakijiji - Imechapwa 18 March 2009

MSIMAMO wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kuhusu suala la ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme ya Dowans unaonekana kuwakwaza watu wengi.

Mbasha Asenga's picture

Serikali ilete ajenda yake


Na Mbasha Asenga - Imechapwa 13 May 2008

SERIKALI ya awamu ya nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, inaonekana imekuwa katika kifungo cha fikra kwa kipindi chote cha mwaka wa fedha wa 2007/08. Imeshindwa kujitoa katika ajenda iliyoasisiwa na wapinzani.

Isaac Kimweri's picture

Sitta, Kabwe na Slaa msirudi nyuma


Na Isaac Kimweri - Imechapwa 08 April 2008

Dk. Willibrod Slaa, Katibu Mkuu CHADEMA

TANGU serikali ya awamu ya nne itangaze bajeti yake ya mwaka 2007/08 haijawahi kupumzika dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi.