Zitto
Mlolongo wa Habari zinazomhusu Zitto Kabwe

Zitto na kauli tata
MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameibua mjadala mwingine. Anasema siasa halikuwa "chaguo la kwanza" katika maisha yake.
Zitto Kabwe: Kumbikumbi huruka na kuliwa na kunguru
ZITTO Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini, amekiri kumpa magari matatu ofisa habari za zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), David Kafulila.

Siri za Zitto nje
- Mawasiliano yake yanaswa
- Aponzwa na mwandishi wa habari
SIRI kubwa kuhusu mwenendo wa Zitto Kabwe (Mb) ndani ya chama chake zimeanikwa mitaani na zinaweza kumzamisha kisiasa, MwanaHALISI sasa linaweza kuripoti.

CHADEMA: Chuki na visasi vya mawifi
JUHUDI za ndani kwa ndani za kuzamisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huenda zikagonga mwamba. Lakini zinaendelea.

Mwanangu anatumiwa – Mama Zitto
SHIDA Salum, mama mzazi wa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka na kusema mwanaye anatumiwa kukivuruga chama chake.

Kampeni ya Zitto ilifadhiliwa na nani?
MKUTANO Mkuu wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umemalizika kwa Freeman Mbowe kuendelea kukalia kiti cha mwenyekiti.

Siri ya Zitto yafichuka
SIRI ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe kuondoa jina lake katika kinyang’anyiro cha uenyekiti wa chama chake imejulikana.

Uasi wa wabunge kwa mawaziri ni halali
KUNA burudani ya aina yake bungeni. Baadhi ya wabunge wameshika makoo ya mawaziri kama vile uchaguzi mkuu unafanyika mwaka huu, si mwaka kesho.

Ngeleja sasa amwacha Zitto ulingoni
- SAKATA LA DOWANS
HITIMISHO la mjadala wa ununuzi wa mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya Dowans Holding (Tanzania) Limited, bado halijafikiwa.

Zitto amejikwaa, hajaanguka
MSIMAMO wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kuhusu suala la ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme ya Dowans unaonekana kuwakwaza watu wengi.

Serikali ilete ajenda yake
SERIKALI ya awamu ya nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, inaonekana imekuwa katika kifungo cha fikra kwa kipindi chote cha mwaka wa fedha wa 2007/08. Imeshindwa kujitoa katika ajenda iliyoasisiwa na wapinzani.

Sitta, Kabwe na Slaa msirudi nyuma
TANGU serikali ya awamu ya nne itangaze bajeti yake ya mwaka 2007/08 haijawahi kupumzika dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi.