Simba


Mlolongo wa Habari zinazohusu Klabu ya Simba

Elius Kambili's picture

Ushindi wa mbeleko aibu Yanga, Simba


Na Elius Kambili - Imechapwa 11 January 2012

FUNUNU na malalamiko juu ya upangaji matokeo katika mechi za Ligi Kuu ya Bara huwa yanapuuzwa kwa madai ya kukosekana ushahidi. Klabu ndogo za soka zimekuwa zikilalamika kwamba Yanga na Simba zinabebwa, lakini hazisikilizwi.

Leo, hiki kilichotokea katika michuano ya Kombe la Mapinduzi, Zanzibar kinathibitisha klabu hizo kongwe katika soka nchini zinabebwa. Wakati kila shabiki ameona na amesikia, waandaaji michuano wameamua kufumba macho.

Mashahidi ni makocha Salum Bausi wa Miembeni na Stewart Hall wa Azam FC, na kiongozi wa klabu ya Miembeni.

Joster Mwangulumbi's picture

Visingizio basi, Simba kanyaga DC Mtema Pembe


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 01 June 2011

HATA kabla ya kutia mguu uwanjani, Simba ya Dar es Salaam, ililalamikia hatua ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuteua waamuzi kutoka Misri kuchezesha mechi yake dhidi ya Wydad Athletic Club (WAC) ya jijini Casablanca, Morocco.

Joster Mwangulumbi's picture

Nyota ya Kaseja kung’ara tena Misri?


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 25 May 2011

MASHABIKI wa soka wa jijini Cairo, Misri watakuwa na shauku ya kumwona tena Juma Kaseja Juma, kipa wa Simba aliyezuia mikwaju ya wapigajimahiri wa Zamalek katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mwandishi wetu's picture

Simba yapata bahati mara tatu


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 18 May 2011

KLABU ya soka ya Simba ya Dar es Salaam imepata bahati nyingine. Bahati ya kwanza ni kurejeshwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuafiki rufaa yake dhidi ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).

Mwandishi wetu's picture

Yanga, Simba zakosa ‘minoti’ FIFA


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 January 2011

KLABU 400 zilizotoa wachezaji walioshiriki fainali za Kombe la Dunia nchini Afrika zinatarajiwa kupata mgawo wa mapato ya mechi hizo.

Joster Mwangulumbi's picture

Njia ya Simba kutwaa ubingwa hii hapa


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 22 December 2010

  • Yanga kuanza na Dedebit ya Ethiopia

MABINGWA wa soka nchini, Simba ya Dar es Salaam watapaswa kuvuka hatua tatu ili kuweka hai matumaini ya kufika robo fainali na hatimaye kutwaa ubingwa wa Afrika.

Yusuf Aboud's picture

Asante Phiri, Papic


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 13 January 2010

ASANTE kocha wa Simba Patric Phiri. Asante kocha wa Yanga Kostadin Papic kwa kutufundishia timu zetu zikaweza kucheza mpira nzuri wa kuvutia.

Alfred Lucas's picture

Kwa tamasha hili, Simba waa waa...


Na Alfred Lucas - Imechapwa 04 August 2009

KWA mwanamichezo yeyote mwenye upeo, wazo la Klabu ya Simba ya kuanzisha siku maalumu ya klabu hiyo ambayo wameibatiza jina la 'Simba Day', linastahili pongezi.

Alfred Lucas's picture

Simba, Yanga na ushiriki wao kuiua Taifa Stars


Na Alfred Lucas - Imechapwa 14 July 2009

MEI 3 mwaka huu, Shirikisho la Soka Misri (EFF), lilipitisha uamuzi wa kuzizuia klabu za nchi hiyo kusajili makipa kutoka nje ya nchi hiyo, kuanzia msimu ujao wa ligi.

Alfred Lucas's picture

Danny Mrwanda 'amefulia'?


Na Alfred Lucas - Imechapwa 07 July 2009

TIMU ya soka ya Simba, kama zilivyo klabu nyingine zenye misuli ya kifedha, imefanya kufuru katika usajili, kwa kujaza nyota wa ndani na nje ya nchi.

William Kapawaga's picture

TFF wanajua sababu za Yanga kususia


Na William Kapawaga - Imechapwa 29 July 2008

KLABU ya Yanga iliyoingia kwenye michuano ya klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati kama timu ya pili iliyotokana na Tanzania Bara kuwa wenyeji wa michuano hiyo, inaambiwa imehujumu michuano.