Simba


Mlolongo wa Habari zinazohusu Klabu ya Simba

Yusuf Aboud's picture

Asante Phiri, Papic


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 13 January 2010

ASANTE kocha wa Simba Patric Phiri. Asante kocha wa Yanga Kostadin Papic kwa kutufundishia timu zetu zikaweza kucheza mpira nzuri wa kuvutia.

Alfred Lucas's picture

Kwa tamasha hili, Simba waa waa...


Na Alfred Lucas - Imechapwa 04 August 2009

KWA mwanamichezo yeyote mwenye upeo, wazo la Klabu ya Simba ya kuanzisha siku maalumu ya klabu hiyo ambayo wameibatiza jina la 'Simba Day', linastahili pongezi.

Alfred Lucas's picture

Simba, Yanga na ushiriki wao kuiua Taifa Stars


Na Alfred Lucas - Imechapwa 14 July 2009

MEI 3 mwaka huu, Shirikisho la Soka Misri (EFF), lilipitisha uamuzi wa kuzizuia klabu za nchi hiyo kusajili makipa kutoka nje ya nchi hiyo, kuanzia msimu ujao wa ligi.

Alfred Lucas's picture

Danny Mrwanda 'amefulia'?


Na Alfred Lucas - Imechapwa 07 July 2009

TIMU ya soka ya Simba, kama zilivyo klabu nyingine zenye misuli ya kifedha, imefanya kufuru katika usajili, kwa kujaza nyota wa ndani na nje ya nchi.

William Kapawaga's picture

TFF wanajua sababu za Yanga kususia


Na William Kapawaga - Imechapwa 29 July 2008

KLABU ya Yanga iliyoingia kwenye michuano ya klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati kama timu ya pili iliyotokana na Tanzania Bara kuwa wenyeji wa michuano hiyo, inaambiwa imehujumu michuano.