Simba
Mlolongo wa Habari zinazohusu Klabu ya Simba

Asante Phiri, Papic
ASANTE kocha wa Simba Patric Phiri. Asante kocha wa Yanga Kostadin Papic kwa kutufundishia timu zetu zikaweza kucheza mpira nzuri wa kuvutia.

Kwa tamasha hili, Simba waa waa...
KWA mwanamichezo yeyote mwenye upeo, wazo la Klabu ya Simba ya kuanzisha siku maalumu ya klabu hiyo ambayo wameibatiza jina la 'Simba Day', linastahili pongezi.

Simba, Yanga na ushiriki wao kuiua Taifa Stars
MEI 3 mwaka huu, Shirikisho la Soka Misri (EFF), lilipitisha uamuzi wa kuzizuia klabu za nchi hiyo kusajili makipa kutoka nje ya nchi hiyo, kuanzia msimu ujao wa ligi.

Danny Mrwanda 'amefulia'?
TIMU ya soka ya Simba, kama zilivyo klabu nyingine zenye misuli ya kifedha, imefanya kufuru katika usajili, kwa kujaza nyota wa ndani na nje ya nchi.

TFF wanajua sababu za Yanga kususia
KLABU ya Yanga iliyoingia kwenye michuano ya klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati kama timu ya pili iliyotokana na Tanzania Bara kuwa wenyeji wa michuano hiyo, inaambiwa imehujumu michuano.