TFF


Mlolongo wa Habari zinazohusu TFF

Joster Mwangulumbi's picture

Yanga wanachokoza hasira za TFF, FIFA


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 31 August 2011

TAKRIBAN kila mwaka, vyombo vya habari nchini, hasa magazeti huchapisha katiba ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa lengo la kuwaelimisha wasomaji wapya au vijana wanaochipukia katika soka.

Joster Mwangulumbi's picture

Amani tunayo, soka mbovu


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 06 July 2011

SOMALIA haijaonja amani tangu mwaka 1991 baada ya Rais Siad Barre kupinduliwa. Kila siku wananchi wa Somalia wanasikia milio ya bunduki kati ya wababe wa vita.

Joster Mwangulumbi's picture

Kanuni za FIFA zinaipa haki African Lyon


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 27 April 2011

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) lilikumbwa na changamoto kubwa lilipoibuka sakata la Athumani Idd Chuji alipoamua katikati ya msimu kujitoa Simba na kuhamia klabu ya Yanga.

Alfred Lucas's picture

Hatuna la Masia, soka litoke wapi?


Na Alfred Lucas - Imechapwa 09 March 2011

KAMA kuna vitu vilivyokosekana katika mchezo kati ya Simba na Yanga Jumamosi iliyopita, ndani ya dimba la Taifa, Dar es Salaam ni soka safi.

Mwandishi wetu's picture

TFF, sikilizeni haya mnyanyue soka


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 06 March 2011

TUKIGEUKA nyuma, miaka mitatu iliyopita kuangalia vituo vya Ligi Daraja la Kwanza, unapata picha ya hoja ya kocha wa Villa Squad, Abdallah Msamba.

Mwandishi wetu's picture

Wingi wa wageni, si ubora wa Ligi Kuu


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 23 February 2011

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kusudio la kufanyia marekebisho kanuni kadhaa za Ligi Kuu ya Bara ikiwemo ya idadi ya wachezaji wa kigeni.

Joster Mwangulumbi's picture

TFF yapata mtendaji mahiri


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 15 December 2010

INGAWA tangu zilipoingia dini nchini, wengi hujiita kwa majina ya kikristo au kiislamu, wapo wanaopenda majina ya kibantu.

Mwandishi wetu's picture

Kashfa nyingine ya rushwa FIFA


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 20 October 2010

SHAABAN Kado, kipa namba moja wa klabu ya soka ya Mtibwa Sugar, kwa ushujaa kabisa alieleza namna klabu moja isiyojulikana ilivyotaka kumhonga ili acheze chini ya kiwango katika mechi dhidi ya Simba.

Joster Mwangulumbi's picture

Kaijage amekuwa mbuzi wa kafara


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 13 October 2010

OFISA Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Florian Kaijage amesimamishwa kazi kuanzia Jumatatu akituhumiwa kutowajibika ipasavyo katika majukumu aliyopewa.

Alfred Lucas's picture

TFF imeiabisha kamati ya uchaguzi Yanga SC


Na Alfred Lucas - Imechapwa 07 July 2010

MTU anayefuatilia mfululizo wa matukio katika klabu ya Yanga kuanzia ulipofanyika mkutano mkuu wa wanachama Juni 6, 2010 atagundua kujiingiza kupita kiasi kwa kamati ya uchaguzi ya klabu hiyo.

Joster Mwangulumbi's picture

Haya ni madudu ya kamati ya uchaguzi Yanga


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 16 June 2010

JUNI 6, mwaka huu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Imani Madega aliitisha mkutano mkuu wa kujadili marekebisho ya katiba, lakini mwishoni akaporwa madaraka na kamati ya uchaguzi.

Yusuf Aboud's picture

Maximo, Phiri sasa wasingizia Ligi Kuu


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 26 May 2010

MWISHONI mwa wiki iliyopita kocha mkuu wa timu ya soka ya Simba, Patrick Phiri alitoa kauli iliyoashiria kwamba Ligi Kuu ya Bara ni dhaifu.

Mwandishi wetu's picture

TFF wasaka kocha kutoka mbinguni


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010

UTEUZI wa Marcio Maximo kama kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, ulilalamikiwa na wadau wengi wa soka kutokana na mchakato wake kuwa wa siri.

Yusuf Aboud's picture

Kila la kheri Wambura, Rage lakini...


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 07 April 2010

ISMAIL Aden Rage aliingia klabu ya Simba akaichezea kidogo na baadaye akaiongoza halafu akaondoka akiwa hajaifanyia kitu cha maana. Hata leo hawezi kusimama hadharani akatamba kupata kuifanyia Simba cha maana.

Labda waliporejea kutoka mazoezini Brazil na kile alichodai kuwa ni mfumo wa uchezaji wa samba na diagonal. Hizo zilikuwa ghiliba tu.

Juzi tumemshuhudia Michael Richard Wambura akitangaza nia ya kuwania uenyekiti wa klabu hiyo iliyoanzishwa miaka 74 iliyopita. Je, anakuja na jipya gani? Kama mwanachama huyo si mpya basi hana jipya.

Alfred Lucas's picture

Wasaliti wamemwangusha Nchimbi TFF


Na Alfred Lucas - Imechapwa 03 March 2010

MGOMBEA nafasi ya makamu wa pili wa rais katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), John Nchimbi ameshindwa lakini amebaki akijipongeza: “Kwa kweli nastahili pongezi.”

Clement Ulisa's picture

Mapunda kampiga 'red card' Nchimbi


Na Clement Ulisa - Imechapwa 24 February 2010

UCHAGUZI mdogo wa kujaza nafasi ya makamu wa pili wa rais wa TFF utakaofanyika Jumapili ijayo jijini Dar es Salaam, unatarajiwa kukutanisha wagombea wawili wenye sifa tofauti.

Alfred Lucas's picture

Kwa staili hii, TFF itamfia Tenga


Na Alfred Lucas - Imechapwa 10 February 2010

AKILI yangu inanituma kuamini kwamba, TFF (Shirikisho la Soka Tanzania ) chini ya Rais Leodegar Chilla Tenga, inazama.

Mwandishi wetu's picture

Bakhresa ambeba Ramadhan Nassib


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 27 January 2010

AKISIMAMIA jambo, mara nyingi linafanikiwa. Katika masuala ya soka, hata kama akiamshwa usiku wa manane, hujibu swali lolote. Pengine ni kwa sababu ya weledi unaotokana na uzoefu katika masuala ya mchezo huo wenye mashabiki wengi duniani.

Yusuf Aboud's picture

Ya TFF na makocha wa ughaibuni


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 23 December 2009

TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20, inahujumiwa. Mhujumu mkuu ni Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF).

Yusuf Aboud's picture

Kwa hili, TFF wamepotoka


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 25 November 2009

MARCIO Barthelio Maximo, kocha wa timu ya taifa ya Tanzania – "Taifa Stars," hakustahili kupewa jukumu la kuinoa timu ya Bara, "The Kilimanjaro Stars."

Walter Kitosi's picture

Vikosi vya pili klabuni wizi mtupu!


Na Walter Kitosi - Imechapwa 16 June 2009

AGIZO la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutaka klabu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom kuwa na vikosi vya pili lilipokelewa kwa furaha kubwa na wadau wa soka nchini.

Mwandishi wetu's picture

Nani kawaloga TFF?


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 26 May 2009

NDANI ya miezi miwili tangu Aprili mwaka huu, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefanywa vioja vikubwa vitatu.

Kwa TFF hii, kamwe hatukuwa tumezoea kuwaona

William Kapawaga's picture

TFF wanajua sababu za Yanga kususia


Na William Kapawaga - Imechapwa 29 July 2008

KLABU ya Yanga iliyoingia kwenye michuano ya klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati kama timu ya pili iliyotokana na Tanzania Bara kuwa wenyeji wa michuano hiyo, inaambiwa imehujumu michuano.

Jabir Idrissa's picture

Joel Bendera amedanganya Bunge


Na Jabir Idrissa - Imechapwa 08 July 2008

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limedanganywa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera.