TAKRIBAN kila mwaka, vyombo vya habari nchini, hasa magazeti huchapisha katiba ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa lengo la kuwaelimisha wasomaji wapya au vijana wanaochipukia katika soka.
Mlolongo wa Habari zinazohusu TFF

Amani tunayo, soka mbovu
SOMALIA haijaonja amani tangu mwaka 1991 baada ya Rais Siad Barre kupinduliwa. Kila siku wananchi wa Somalia wanasikia milio ya bunduki kati ya wababe wa vita.

Kanuni za FIFA zinaipa haki African Lyon
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) lilikumbwa na changamoto kubwa lilipoibuka sakata la Athumani Idd Chuji alipoamua katikati ya msimu kujitoa Simba na kuhamia klabu ya Yanga.

Hatuna la Masia, soka litoke wapi?
KAMA kuna vitu vilivyokosekana katika mchezo kati ya Simba na Yanga Jumamosi iliyopita, ndani ya dimba la Taifa, Dar es Salaam ni soka safi.

TFF, sikilizeni haya mnyanyue soka
TUKIGEUKA nyuma, miaka mitatu iliyopita kuangalia vituo vya Ligi Daraja la Kwanza, unapata picha ya hoja ya kocha wa Villa Squad, Abdallah Msamba.

Wingi wa wageni, si ubora wa Ligi Kuu
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kusudio la kufanyia marekebisho kanuni kadhaa za Ligi Kuu ya Bara ikiwemo ya idadi ya wachezaji wa kigeni.

TFF yapata mtendaji mahiri
INGAWA tangu zilipoingia dini nchini, wengi hujiita kwa majina ya kikristo au kiislamu, wapo wanaopenda majina ya kibantu.

Kashfa nyingine ya rushwa FIFA
SHAABAN Kado, kipa namba moja wa klabu ya soka ya Mtibwa Sugar, kwa ushujaa kabisa alieleza namna klabu moja isiyojulikana ilivyotaka kumhonga ili acheze chini ya kiwango katika mechi dhidi ya Simba.

Kaijage amekuwa mbuzi wa kafara
OFISA Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Florian Kaijage amesimamishwa kazi kuanzia Jumatatu akituhumiwa kutowajibika ipasavyo katika majukumu aliyopewa.

TFF imeiabisha kamati ya uchaguzi Yanga SC
MTU anayefuatilia mfululizo wa matukio katika klabu ya Yanga kuanzia ulipofanyika mkutano mkuu wa wanachama Juni 6, 2010 atagundua kujiingiza kupita kiasi kwa kamati ya uchaguzi ya klabu hiyo.

Haya ni madudu ya kamati ya uchaguzi Yanga
JUNI 6, mwaka huu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Imani Madega aliitisha mkutano mkuu wa kujadili marekebisho ya katiba, lakini mwishoni akaporwa madaraka na kamati ya uchaguzi.

Maximo, Phiri sasa wasingizia Ligi Kuu
MWISHONI mwa wiki iliyopita kocha mkuu wa timu ya soka ya Simba, Patrick Phiri alitoa kauli iliyoashiria kwamba Ligi Kuu ya Bara ni dhaifu.

TFF wasaka kocha kutoka mbinguni
UTEUZI wa Marcio Maximo kama kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, ulilalamikiwa na wadau wengi wa soka kutokana na mchakato wake kuwa wa siri.

Kila la kheri Wambura, Rage lakini...
ISMAIL Aden Rage aliingia klabu ya Simba akaichezea kidogo na baadaye akaiongoza halafu akaondoka akiwa hajaifanyia kitu cha maana. Hata leo hawezi kusimama hadharani akatamba kupata kuifanyia Simba cha maana.
Labda waliporejea kutoka mazoezini Brazil na kile alichodai kuwa ni mfumo wa uchezaji wa samba na diagonal. Hizo zilikuwa ghiliba tu.
Juzi tumemshuhudia Michael Richard Wambura akitangaza nia ya kuwania uenyekiti wa klabu hiyo iliyoanzishwa miaka 74 iliyopita. Je, anakuja na jipya gani? Kama mwanachama huyo si mpya basi hana jipya.

Wasaliti wamemwangusha Nchimbi TFF
MGOMBEA nafasi ya makamu wa pili wa rais katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), John Nchimbi ameshindwa lakini amebaki akijipongeza: “Kwa kweli nastahili pongezi.”
Mapunda kampiga 'red card' Nchimbi
UCHAGUZI mdogo wa kujaza nafasi ya makamu wa pili wa rais wa TFF utakaofanyika Jumapili ijayo jijini Dar es Salaam, unatarajiwa kukutanisha wagombea wawili wenye sifa tofauti.

Kwa staili hii, TFF itamfia Tenga
AKILI yangu inanituma kuamini kwamba, TFF (Shirikisho la Soka Tanzania ) chini ya Rais Leodegar Chilla Tenga, inazama.

Bakhresa ambeba Ramadhan Nassib
AKISIMAMIA jambo, mara nyingi linafanikiwa. Katika masuala ya soka, hata kama akiamshwa usiku wa manane, hujibu swali lolote. Pengine ni kwa sababu ya weledi unaotokana na uzoefu katika masuala ya mchezo huo wenye mashabiki wengi duniani.

Ya TFF na makocha wa ughaibuni
TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20, inahujumiwa. Mhujumu mkuu ni Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF).

Kwa hili, TFF wamepotoka
MARCIO Barthelio Maximo, kocha wa timu ya taifa ya Tanzania – "Taifa Stars," hakustahili kupewa jukumu la kuinoa timu ya Bara, "The Kilimanjaro Stars."

Vikosi vya pili klabuni wizi mtupu!
AGIZO la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutaka klabu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom kuwa na vikosi vya pili lilipokelewa kwa furaha kubwa na wadau wa soka nchini.

Nani kawaloga TFF?
NDANI ya miezi miwili tangu Aprili mwaka huu, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefanywa vioja vikubwa vitatu.
Kwa TFF hii, kamwe hatukuwa tumezoea kuwaona

TFF wanajua sababu za Yanga kususia
KLABU ya Yanga iliyoingia kwenye michuano ya klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati kama timu ya pili iliyotokana na Tanzania Bara kuwa wenyeji wa michuano hiyo, inaambiwa imehujumu michuano.

Joel Bendera amedanganya Bunge
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limedanganywa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera.