TFF


Mlolongo wa Habari zinazohusu TFF

Alfred Lucas's picture

TFF imeiabisha kamati ya uchaguzi Yanga SC


Na Alfred Lucas - Imechapwa 07 July 2010

MTU anayefuatilia mfululizo wa matukio katika klabu ya Yanga kuanzia ulipofanyika mkutano mkuu wa wanachama Juni 6, 2010 atagundua kujiingiza kupita kiasi kwa kamati ya uchaguzi ya klabu hiyo.

Joster Mwangulumbi's picture

Haya ni madudu ya kamati ya uchaguzi Yanga


Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 16 June 2010

JUNI 6, mwaka huu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Imani Madega aliitisha mkutano mkuu wa kujadili marekebisho ya katiba, lakini mwishoni akaporwa madaraka na kamati ya uchaguzi.

Yusuf Aboud's picture

Maximo, Phiri sasa wasingizia Ligi Kuu


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 26 May 2010

MWISHONI mwa wiki iliyopita kocha mkuu wa timu ya soka ya Simba, Patrick Phiri alitoa kauli iliyoashiria kwamba Ligi Kuu ya Bara ni dhaifu.

Mwandishi wetu's picture

TFF wasaka kocha kutoka mbinguni


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010

UTEUZI wa Marcio Maximo kama kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, ulilalamikiwa na wadau wengi wa soka kutokana na mchakato wake kuwa wa siri.

Yusuf Aboud's picture

Kila la kheri Wambura, Rage lakini...


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 07 April 2010

ISMAIL Aden Rage aliingia klabu ya Simba akaichezea kidogo na baadaye akaiongoza halafu akaondoka akiwa hajaifanyia kitu cha maana. Hata leo hawezi kusimama hadharani akatamba kupata kuifanyia Simba cha maana.

Labda waliporejea kutoka mazoezini Brazil na kile alichodai kuwa ni mfumo wa uchezaji wa samba na diagonal. Hizo zilikuwa ghiliba tu.

Juzi tumemshuhudia Michael Richard Wambura akitangaza nia ya kuwania uenyekiti wa klabu hiyo iliyoanzishwa miaka 74 iliyopita. Je, anakuja na jipya gani? Kama mwanachama huyo si mpya basi hana jipya.

Alfred Lucas's picture

Wasaliti wamemwangusha Nchimbi TFF


Na Alfred Lucas - Imechapwa 03 March 2010

MGOMBEA nafasi ya makamu wa pili wa rais katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), John Nchimbi ameshindwa lakini amebaki akijipongeza: “Kwa kweli nastahili pongezi.”

Clement Ulisa's picture

Mapunda kampiga 'red card' Nchimbi


Na Clement Ulisa - Imechapwa 24 February 2010

UCHAGUZI mdogo wa kujaza nafasi ya makamu wa pili wa rais wa TFF utakaofanyika Jumapili ijayo jijini Dar es Salaam, unatarajiwa kukutanisha wagombea wawili wenye sifa tofauti.

Alfred Lucas's picture

Kwa staili hii, TFF itamfia Tenga


Na Alfred Lucas - Imechapwa 10 February 2010

Rais wa TFF, Leodegar Chilla Tenga

AKILI yangu inanituma kuamini kwamba, TFF (Shirikisho la Soka Tanzania ) chini ya Rais Leodegar Chilla Tenga, inazama.

Mwandishi wetu's picture

Bakhresa ambeba Ramadhan Nassib


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 27 January 2010

AKISIMAMIA jambo, mara nyingi linafanikiwa. Katika masuala ya soka, hata kama akiamshwa usiku wa manane, hujibu swali lolote. Pengine ni kwa sababu ya weledi unaotokana na uzoefu katika masuala ya mchezo huo wenye mashabiki wengi duniani.

Yusuf Aboud's picture

Ya TFF na makocha wa ughaibuni


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 23 December 2009

TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20, inahujumiwa. Mhujumu mkuu ni Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF).

Yusuf Aboud's picture

Kwa hili, TFF wamepotoka


Na Yusuf Aboud - Imechapwa 25 November 2009

MARCIO Barthelio Maximo, kocha wa timu ya taifa ya Tanzania – "Taifa Stars," hakustahili kupewa jukumu la kuinoa timu ya Bara, "The Kilimanjaro Stars."

Walter Kitosi's picture

Vikosi vya pili klabuni wizi mtupu!


Na Walter Kitosi - Imechapwa 16 June 2009

AGIZO la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutaka klabu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom kuwa na vikosi vya pili lilipokelewa kwa furaha kubwa na wadau wa soka nchini.

Mwandishi wetu's picture

Nani kawaloga TFF?


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 26 May 2009

NDANI ya miezi miwili tangu Aprili mwaka huu, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefanywa vioja vikubwa vitatu.

Kwa TFF hii, kamwe hatukuwa tumezoea kuwaona

William Kapawaga's picture

TFF wanajua sababu za Yanga kususia


Na William Kapawaga - Imechapwa 29 July 2008

KLABU ya Yanga iliyoingia kwenye michuano ya klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati kama timu ya pili iliyotokana na Tanzania Bara kuwa wenyeji wa michuano hiyo, inaambiwa imehujumu michuano.

Jabir Idrissa's picture

Joel Bendera amedanganya Bunge


Na Jabir Idrissa - Imechapwa 08 July 2008

Waziri Joel Bendera

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limedanganywa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera.