TLP
Mlolongo wa Habari za Tanzania Labour Party

Mrema atamani kurudia ushushushu
- Akiri kuwa katika mtandao wa Kikwete
- Alenga upya ubunge Jimbo la Vunjo
MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema bado anafanya kazi ya usalama wa Taifa.

Mutungirehi: Mrema 'chui wa karatasi'
BENEDICTO Mutachoka Mutungirehi (42), amesema hana taarifa za kufukuzwa Tanzania Labor Party (TLP) na kwamba amesikia kupitia vyombo vya habari.

Nani anamtuma Augustine Mrema?
AUGUSTINE Mrema, mwenyekiti wa chama cha cha Tanzania Labour (TLP) bado hajaacha tabia yake ya siku nyingi ya kushutumu na kutuhumu kila anayetofautiana naye.