TRL
Mlolongo wa habari kuhusu kashfa ya TRL

Serikali bado iko ‘chekechea’
SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inaendelea kujifunza. Itaendelea kujifunza na labda bila kufuzu.
RITES iwe fundisho kwa serikali
WAZIRI wa Miundombinu, Shukuru Kawambwa, amelitangazia taifa kuwa serikali itachukua asilimia 51 ya hisa za kampuni ya Reli ya India (RITES) zilizokuwa zinaunda kampuni ya Reli ya TRL.

Ukitaka meza wembe, Chenge haguswi
“SAFARI hii tumekuwa makini sana katika kufikia mkataba na Rites kuendesha TRL,” hii ilikuwa ni sehemu tu ya kauli ya aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge.

Serikali ishitaki RITES kwa kuhujumu TRL
“WA moja havai mbili hata akivaa humdondoka” ni msemo ambao aghalabu hutumiwa na watu mitaani hasa pale wanapotambiana juu ya nafasi zao katika jamii.
Serikali isichezee Watanzania
HALI inayoendelea katika Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), ya kila mara wafanyakazi kulazimika kugoma ndipo wapate haki zao, ni mfano mzuri wa matokeo ya utendaji mbaya wa serikali.
TRL sasa basi
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL) imeshindwa kazi. Haina tena uwezo wa kutoa huduma wala kulipa mishahara watumishi wake.

TRL: Serikali sasa ichukue hatua
MENEJEMENTI ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) imeshindwa kuelewana na wafanyakazi wake; imeshindwa kuimarisha njia za usafiri na imeshindwa kuboresha hali za wafanyakazi.

Tumeshindwa kila mahali
MENGI yamesemwa baada ya treni ya abiria kugongana na treni ya mizigo kati ya Stesheni ya Gulwe na Igandu, Dodoma wiki mbili zilizopita.

Usafir wa TRL: Kama binadamu, kama mnyama
NI saa 10:30 alasiri. Nipo Stesheni Kuu ya Reli Dar es Salaam. Ndio kituo kikuu cha kuanzia safari za treni kwa njia ya reli ya kati iendayo Mwanza na Kigoma kupitia Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora na Shinyanga.
Serikali itoe majibu sasa
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilianza mkutano wake jana mjini Dodoma huku Watanzania wakiwa na mashaka juu ya hatima ya mambo muhimu ambayo serikali haijapatia majibu.
Mkataba TRL ungefutwa
HATIMAYE serikali imezinduka. Rais Jakaya Kikwete amesikia ingawa hakuweza kuchukua hatua iliyotarajiwa kuhusu uendeshaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL).

Zipo kiasi gani kulipia wawekezaji wazembe?
SERIKALI imepandikiza chuki. Wiki iliyopita, ilitangaza kulipia mishahara ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli (TRL), ambao walishindwa kulipwa na muwekezaji aliyekodishwa shirika hilo.

Usafiri wa reli nchini - Ndoto isiyotimilika
NI kama mwaka mmoja tu uliopita pale Watanzania walipotangaziwa kuwa Ubelgiji imekubali ombi la Tanzania la kutandika reli itakayounganisha nchi hii na nchi za Maziwa Makuu za Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).

Serikali imejipalilia migogoro
MIEZI mitano tu tangu serikali ikabidhi Shirika la Reli nchini (TRC) kwa kampuni ya kigeni iitwayo Rite, iliyoshinda zabuni ya kuwekeza katika shirika hili lenye miundombinu ghali mno, tayari wawekezaji hao hawana uwezo wa kulipa wafanyakazi wake.