KONGAMANO la siku moja lililolenga kujadili majeraha yaliyotokana na uchaguzi mkuu uliopita, lilifanyika 5 Mei 2011 katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam.
Mlolongo wa Habari za Uchaguzi

Kama hatutaki kashfa, tujiandae
WIKI iliyopita, MwanaHALISI liliandika kuhusu mgogoro mkubwa uliopo nchini Ghana sasa ambapo mke wa rais mstaafu wa taifa hilo, Nana Konadu Agyemang, ametangaza kutaka kuwania urais.

Silinde: Kijana wa CHADEMA aliyeitikisa CCM Mbozi
KATIKA kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani kulikuwa na habari nyingi kuhusu baadhi ya wagombea ‘kumwaga’ fedha ili waweze kuchaguliwa.

Tamko la CHADEMA mauaji Arusha
JUMATANO iliyopita, Jeshi la polisi nchini lilishambulia wanachama, viongozi na wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) waliokuwa wanaelekea katika mkutano wa hadhara uliopangwa kufanyika katika uwanja wa Unga Limited, ambapo watu watatu inadaiwa walikufa na wengine kadhaa kujeruhiwa. Kufuatia tukio hilo, CHADEMA makao makuu ilitoa tamko lililosomwa kwa waandishi wa habari na mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando, 6 Januari 2011. Ifuatayo ni sehemu ya maelezo hayo…

Viongozi wa kuchongwa hawajali haki
SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongeza makucha yake ya udikteta kwa kukandamiza haki na demokrasia.
CCM ikubali kushindwa
TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini matukio mengi yametokea ikiwa ni mwendelezo na utamaduni uliozoeleka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini katika mabavu.

Urais wa Kikwete utata mtupu
MATOKEO ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani wa Oktoba mwaka huu, yanazidi kuzua utata, MwanaHALISI limeelezwa.

Dk. Slaa hekima imepita kiti cha enzi
MOJA ya makala niliyoandika mara baada ya uchaguzi mkuu, ilihusu kiongozi mmoja wa kale ambaye dini zote kubwa za Uyahudi, Uislamu na Ukristu zinamtambua kutokana na uongozi wake wa hekima.

Ni kufa na kupona vita vya umeya Dar
WAGOMBEA umeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Dar es Salaam watatoana ngeu.

Dk. Slaa: Tutamshitaki JK
RAIS Jakaya Kikwete anaweza kujiingiza katika mgogoro wa kisiasa na kidiplomasia, iwapo atashindwa kuchukua hatua za kuandika Katiba mpya na kuwa na tume huru ya uchaguzi, MwanaHALISI limeelezwa.

Katiba mpya ndilo jibu pekee
BAADA ya wabunge wa CHADEMA kumwacha Rais Jakaya Kikwete bungeni, kwa shabaha ya kusisitiza umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, watawala wameweweseka.

Chagulani: CHADEMA itatoa elimu bure Jiji la Mwanza
KATIKA umri wa miaka 25 Chagulani Adams Ibrahim anajiandaa kuweka historia katika Mkoa wa Mwanza kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza.
Kilichomwangusha Kikwete hiki
KUNA mambo mengi yaliyosababisha kuanguka vibaya kwa Rais Jakaya Kikwete na chama chake katika uchaguzi uliopita.

JK na kibarua kigumu
Miaka mitano iliyopita, tunaweza kuitafutia udhuru wowote ule kueleza kwa nini baadhi ya mambo hayakufanikiwa. Tunaweza kutafuta sababu ya kwanini baadhi ya mambo yalifanyika na mengine hayakufanyika kama ilivyotarajiwa.
Hotuba ya rais imepuuza mambo muhimu
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete ya uzinduzi wa Bunge la 10 uliofanyika 18 Novemba, 2010 mjini Dodoma, imenigusa sana na kunichokoza. Vizuri niijadili.

Ujanja kuwahi na kupata
SIRI ni ya mtu mmoja, wakiwa wawili hiyo si siri tena. Mmoja kati yao, atapata joto moyoni, atafurukutwa; na dawa ya utulivu huo ni kuweka wazi mpango wa siri alioshirikishwa.

Kasulumbayi: Nimeshinda kwa nguvu ya umma
JAPOKUWA kinadharia kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu zilitawaliwa na matumizi makubwa ya fedha, wako wabunge wanaoweza kujitokeza kifua mbele na kusema hawakushinda kwa nguvu ya fedha ila nguvu ya umma.

Hesabu za waliopiga kura haziingii akilini
MWALIMU wangu wa Hisabati alinifundisha ukweli mmoja. Kwamba hesabu ikifuata kanuni zake, haiwezi kutoa jawabu tofauti hata kama zimefanywa kijijini Msalato au Washington, Marekani.

Prof Lipumba: ‘Rais’ bora anyekosa kura za kutosha
WIKI iliyopita nilieleza kwa ujumla sifa za aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ikilinganishwa na waliokuwa wapinzani wake katika uchaguzi uliopita.

MwanaHALISI laipa kiwewe CCM
GAZETI la MwanaHALISI linaandaliwa mikakati ya “kuzimwa” kwa madai kuwa ni moja ya vyombo vilivyokosesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu uliopita.
‘Vyama vya msimu’ vyatibua ushindi wa kishindo wa CCM
MARA nyingi washindi huwa wanatamba; “Uwe halali, wa mizengwe au wa kupora ushindi ni ushindi.” Haya ni maneno ya kishabiki maarufu kwa mashabiki wa mpira ambao baada ya mechi watazungumzia kwenye vijiwe vyao namna ushindi ulivyopatikana.

Marmo, Masha wametuachia fundisho
WANANCHI wa Mbulu, mkoani Manyara na Nyamagana mkoani Mwanza, wamechukua uamuzi sahihi. Wamekataa kuburuzwa na wale walijipachika “Umungu mtu” – Laurence Masha (Nyamagana) na Phillip Marmo (Mbulu).

Demokrasia ya vitisho, wizi wa kura
MTU yeyote anayejitokeza kuwa kiongozi au mfuasi wa chama cha upinzani Tanzania ni lazima ajiandae kupata changamoto nyingi kama kutengwa na kuchafuliwa.

Profesa Lipumba: 'Rais' bora anayekosa kura za kutosha
SIKU moja niliota ndoto kwamba mimi ni mpiga kura wa mwisho katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania. Kabla ya kwenda kupiga kura yangu tayari niliambiwa kwamba wagombea urais wamefungana kwa kura.

Askofu huyu katumwa na nani?
ASKOFU wa Kanisa Katoliki anategemewa azungumze mambo ya maadili na imani. Anatarajiwa afundishe mafundisho ya kanisa, yasiyoegemea upande wowote wa kisiasa kwa kuwa yeye ana waumini wa vyama mbalimbali katika kanisa lake analoliongoza.

Dk. Slaa: Uchaguzi wizi mtupu
MATOKEO ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yamejaa utata, MwanaHALISI limegundua.

Tanzania: Nchi moja, ma-rais wawili
JAKAYA Mrisho Kikwete amewataka waandishi wa habari kusaidia kuponya majeraha “yaliyotokana na uchaguzi mkuu.”
CCM wanahatarisha amani, mshikamano
MARA baada ya kuapishwa kushika kipindi cha pili cha uongozi wake, Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai kwa Watanzania wote na hasa wanasiasa wa vyama vya upinzani kusaidia juhudi za kutibu majeraha ya udini yaliyosababishwa na kampeni.

Urais mchezo wa karata tatu
MCHEZO wa karata tatu huwa haumaliziki salama. Wachezeshaji, wanapoona wanazidi kuliwa hulazimisha ushindi.

Baruany: Kiboko cha Abdulaziz
SALUM Khafan Nassor Baruany (51), mbunge mteule wa Jimbo la Lindi Mjini, ameweka historia ya kuwa mtu wa kwanza nchini mwenye ulemavu wa ngozi (albino) kushika wadhifa huo kupitia njia ya kuchaguliwa na wananchi.
