- Achota mamilioni bungeni
- Chiligati apigwa na butwaa
BUNGE la Jamhuri linaendelea kumlipa mshahara mbunge wa Kishapu (CCM), Fred Mpendazoe, imefahamika.
Mlolongo wa Habari za Wapambanaji wa Ufisadi ndani ya CCM

BUNGE la Jamhuri linaendelea kumlipa mshahara mbunge wa Kishapu (CCM), Fred Mpendazoe, imefahamika.

MGAWANYIKO mpya umeibuka kwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye mtizamo wa kizalendo dhidi ya wale wanaofikiria zaidi maslahi ya kibiashara, MwanaHALISI imebaini.
KUNDI la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwamo wabunge waliojipachika jina la "wapiganaji," limesaliti umma na kujisaliti lenyewe.

"HATA kiongozi akiwa mzuri vipi, akitoka katika kundi fulani hawezi kukubalika."

JUHUDI za mbunge wa Monduli, Edward Lowassa na mwenzake wa Igunga, Rostam Aziz kutaka kujivua na gome la Richmond zimezimwa, MwanaHALISI limeelezwa.
KATIKA siku za karibuni vita dhidi ya ufisadi vimechukua mwelekeo mwingine. Vinapiganwa hata na watu ambao rekodi za usafi wao zinatia shaka.

KAMANDA Jakaya Kikwete amesalimu amri? Vita dhidi ya ufisadi imemwelemea? Mbona hatekelezi ahadi zake za kupambana na ufisadi? Turejee kauli zake.

AJALI ya gari iliyomhusisha Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe imeanza kuibua mengi, MwanaHALISI limegundua.

Tatizo kubwa la utawala wa nchi yetu na la muda mrefu na ambalo limekuja kujulikana hivi karibuni ni ufisadi usio kifani.

VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

“MIMI sijawahi kutumia udini kutafuta uongozi. Nimekuwa mbunge kwa vipindi vitatu sasa mfululizo. Katika muda wote huo, hakuna hata mara moja nilipotumia udini kushinda ubunge.

MBUNGE wa Vunjo (CCM) Aloyce Kimaro, bado anang’ang’ania watuhumiwa wa ufisadi na kusema, “Katika hili, katu sitarudi nyuma.”

KUNA mkakati wa makusudi wa kuhakikisha wabunge zaidi ya 30 wanasukumwa nje ya Bunge katika uchaguzi mkuu ujao, MwanaHALISI limeelezwa.