Wapiganaji


Mlolongo wa Habari za Wapambanaji wa Ufisadi ndani ya CCM

Saed Kubenea's picture

Mpendazoe aendelea kutesa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 12 May 2010

Achota mamilioni bungeni
Chiligati apigwa na butwaa
Fred Mpendazoe

BUNGE la Jamhuri linaendelea  kumlipa mshahara mbunge wa Kishapu (CCM), Fred Mpendazoe, imefahamika.

Mwandishi wetu's picture

Makundi ya wabunge yajirudia


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 28 April 2010

Dk. Mwakyembe

MGAWANYIKO mpya umeibuka kwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye mtizamo wa kizalendo dhidi ya wale wanaofikiria zaidi maslahi ya kibiashara, MwanaHALISI imebaini.

Abel Ndekirwa's picture

'Wapambanaji' wanapogeuka wasaliti


Na Abel Ndekirwa - Imechapwa 24 February 2010

Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini, William Shelukindo

KUNDI la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwamo wabunge waliojipachika jina la "wapiganaji," limesaliti umma na kujisaliti lenyewe.

Mwandishi wetu's picture

Chegeni: Tumepoteza uzalendo


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 03 February 2010

Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni

"HATA kiongozi akiwa mzuri vipi, akitoka katika kundi fulani hawezi kukubalika."

Saed Kubenea's picture

Selelii: Avua nguo Rostam, Lowassa


Na Saed Kubenea - Imechapwa 11 November 2009

Adai Kikwete alikabidhiwa mapema ripoti ya Richmond
Asema kama kumuokoa ni yeye aliyepaswa kufanya hivyo
Mbunge wa Nzega Lucas Selelii

JUHUDI za mbunge wa Monduli, Edward Lowassa na mwenzake wa Igunga, Rostam Aziz kutaka kujivua na gome la Richmond zimezimwa, MwanaHALISI limeelezwa.

editor's picture

Inzi wavamia vita vya ufisadi


Na editor - Imechapwa 29 September 2009

KATIKA siku za karibuni vita dhidi ya ufisadi vimechukua mwelekeo mwingine. Vinapiganwa hata na watu ambao rekodi za usafi wao zinatia shaka.

Saed Kubenea's picture

Kikwete ametelekeza wapambanaji


Na Saed Kubenea - Imechapwa 02 June 2009

Rais Jakaya Kikwete

KAMANDA Jakaya Kikwete amesalimu amri? Vita dhidi ya ufisadi imemwelemea? Mbona hatekelezi ahadi zake za kupambana na ufisadi? Turejee kauli zake.

Mwandishi wetu's picture

Ajali ya Mwakyembe yatatanisha zaidi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 26 May 2009

Yasheheni madai mazito
Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe

AJALI ya gari iliyomhusisha Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe imeanza kuibua mengi, MwanaHALISI limegundua.

Fred Mpendazoe's picture

Kukemea ufisadi ni ujasiri tosha


Na Fred Mpendazoe - Imechapwa 26 May 2009

Fred Mpendazoe

Tatizo kubwa la utawala wa nchi yetu na la muda mrefu na ambalo limekuja kujulikana hivi karibuni ni ufisadi usio kifani.

Saed Kubenea's picture

Vita vya makundi CCM vyamwandama Kikwete


Na Saed Kubenea - Imechapwa 07 April 2009

Mwakyembe amkomalia Chiligati
Mkuchika kuvaana na Makamba
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Dk. Harrison Mwakyemb

VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

Mwandishi wetu's picture

Lucas Selelii: Sijawahi kutumia udini


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 31 March 2009

Mbunge  wa Nzenga, Lucas Lumambo Selelii

“MIMI sijawahi kutumia udini kutafuta uongozi. Nimekuwa mbunge kwa vipindi vitatu sasa mfululizo. Katika muda wote huo, hakuna hata mara moja nilipotumia udini kushinda ubunge.

Mwandishi wetu's picture

Aloyce Kimaro aapa: Sitanyamazia ufisadi


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 30 September 2008

MBUNGE  wa Vunjo (CCM) Aloyce Kimaro

MBUNGE wa Vunjo (CCM) Aloyce Kimaro, bado anang’ang’ania watuhumiwa wa ufisadi na kusema, “Katika hili, katu sitarudi nyuma.”

Mwandishi wetu's picture

Wabunge 36 kuhujumiwa


Na Mwandishi wetu - Imechapwa 08 July 2005

Ni hasira ya watuhumiwa ufisadi

KUNA mkakati wa makusudi wa kuhakikisha wabunge zaidi ya 30 wanasukumwa nje ya Bunge katika uchaguzi mkuu ujao, MwanaHALISI limeelezwa.