Recent comments


  • Nape haifahamu katiba ya CCM?   22 hours 21 min ago
    Jamani huu undugu nization ndio unaua nchi sasa kama mtu anapewa nafasi nyeti kwenye chama ilhali hajui katiba ya chama chake! Je ni vigezo vipi vilivyo angaliwa ili kuteuliwa vinginevyo tuseme hata walio fanya screening ni mbumbumbu sababu nao walipata kazi kwa njia hiohio kwa misingi hii tutarajie nini toka kwa uongozi wa namna hii?
    Benoit
  • Mambo yamwendea kombo Putin   5 weeks 2 days ago
    Muonja asali huyo,
    Joseph mwita
  • Tumzuie rais kuteua kwa kulipa fadhila   5 weeks 2 days ago
    Wengi wape.
    Joseph mwita
  • Kafulila alistahili kufukuzwa?   6 weeks 2 days ago
    kWA JIBU RAHISI LISILOHITAJI KUUMIZA KICHWA NA KUFIKIRI KWA MUDA MREFU...DAVID KAFULILA HAKUSTAHILI KUFUKUZWA.....
    Rooney
  • Kafulila alistahili kufukuzwa?   6 weeks 3 days ago
    Kwa nini afukuzwe,tatizo mtu akiwa mkweli acha tu
    akwiyima
  • CUF na kiherehere cha ikulu   6 weeks 4 days ago
    Bila shaka Chadema wana dhamira ya kutetea maslahi ya Umma,lakini Cuf wao wanaonekana wapo kwa ajili ya maslahi binafsi.
    ziota
  • CUF na kiherehere cha ikulu   6 weeks 4 days ago
    Katika ulingo wa siasa nchini Tanzania,Cuf walionekana kuwa na dhamira safi lakini kwa sasa wamepoteza dira na mwelekeo na kuonekana kuwa ni wanafki mbele ya umma wa watanzania.Kubisha kwao hodi Ikulu ni mwendelezo wa unafki na kejeli dhidi ya Umma.Kama kweli wana dhamira safi kwa nini waliukubali muswada?tena kwa mbwembwe bila kuukosoa pale walipoona inafaa?Sasa huu pia udhihirisho kuwa wao ni CcmB,na hawana sababu za msingi za kutushawishi watanzania tuendelee kuwaamini kulingana na matukio wanayozdi kuyafanya kwa sasa.
    ziota
  • CUF na kiherehere cha ikulu   7 weeks 2 days ago
    sasa chadema na cuf wanatofauti gani ?
    mr wise
  • Kenya: Mahakama yafuta uteja   7 weeks 3 days ago
    Hawakufika hapo kwa ngonjera bali walidhamiria, na wakatoa msukumo usio na woga wala unafiki, wakisukumwa na mapenzi kwa nchi yao. Sio hapa kwetu ambapo ukiona mtu anapiga kelele ujue ana njaa na akipewa kitumbua anageuka kuwa upande wa wmafisadi. Lakini kadiri ugumu wa maisha unavyowazingira watz itafika siku watasema basi inatosha. Watakapojua athari kuwa sheria mbovu na hasa katiba mbovu ina mchango wa kuwafanya masikini, ndipo watasimama kwa pamoja na kudai mabadiliko ya kweli. Inawezekana tusiongelee uvunguni, tupaze sauti zetu hadharani na si kwenye makongamano tu bali popote tunapopata nafasi ya kukutana na watu. Siku itafika na haiko mbali, nawatia moyo wapambanaji wa kweli na si wapambanaji wa kimaslahi.
    Mkuruka
  • Waziri kumkimbia Lowassa CCM   7 weeks 4 days ago
    Muda wa kujivua magamba kwa ccm unasababisha hasara kubwa,hasa ktk utendaji na maadili!lazima viöngozi wa leo watambue kuwa ,siasa za majukwaani zimepitwa na wakati!siasa ni ktk utendaji!ndo maana wanaahidi uongo kwa umma
    DR weston kiwone
  • Waziri kumkimbia Lowassa CCM   7 weeks 4 days ago
    Muda wa kujivua magamba kwa ccm unasababisha hasara kubwa,hasa ktk utendaji na maadili!lazima viöngozi wa leo watambue kuwa ,siasa za majukwaani zimepitwa na wakati!siasa ni ktk utendaji!ndo maana wanaahidi uongo kwa umma
    DR weston kiwone
  • Waziri kumkimbia Lowassa CCM   7 weeks 4 days ago
    Muda wa kujivua magamba kwa ccm unasababisha hasara kubwa,hasa ktk utendaji na maadili!lazima viöngozi wa leo watambue kuwa ,siasa za majukwaani zimepitwa na wakati!siasa ni ktk utendaji!ndo maana wanaahidi uongo kwa umma
    DR weston kiwone
  • Kenya: Mahakama yafuta uteja   8 weeks 6 hours ago
    Tutafina tu,
    Phiri Nyirenda
  • Kenya: Mahakama yafuta uteja   8 weeks 16 hours ago
    Tanzania...tuko Mbali sana kufikia hatua kama hii
    kaisa079
  • Mkuu wa Wilaya ya Tarime kuwadi wa Barrick   12 weeks 1 day ago
    kama ni kweli hekima na Busara ina hitajika. kwani uwezekano wa kukaa katika meza ya duara haupo?
    Joseph mwita
  • Sumaye apembua UV-CCM   13 weeks 22 hours ago
    Kuna ushahidi usio shaka kwamba ndani ya serikali kunafanywa matumizi makubwa kupindukia mpaka na hakujaonekana dhamira hasa ya serikali kukomesha uovu huu. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Tanesco, Ngeleja na giza   13 weeks 22 hours ago
    Kila rais aliyepita alisemwa na kusemewa. Aliyeko sasa anasemwa na kusemewa na atakayekuja atasemwa na kusemewa. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Symbion: Mwanzo au mwisho wa kashfa?   13 weeks 22 hours ago
    Amesema malumbano ya kisiasa hujibiwa kwa malumbano ya kisiasa, ili umma uelewe kinachobishaniwa. Serikali huja kwa wakati wake kufanya kazi ya utawala, ikiona inabidi kufanya hivyo. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Wagonga meza, wazomeaji CCM kutunga katiba mpya   13 weeks 22 hours ago
    Kuna mwandishi mmoja alinipigia simu aliniambia aliongea na Lukuvi, lakini simkumbuki, na kwamba sina haja ya kumkumbuka. Lakini kama alivyoyasema Lukuvi kwamba hajaongea na gazeti, basi namshukuru. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Wafanyakazi wanastahili wanachodai   13 weeks 22 hours ago
    Aeleze mgawo utaendelea kila baada ya mashine moja kuharibika, au bwawa kukauka. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Waandishi hawa wanahitaji msaada   13 weeks 23 hours ago
    Matatizo mengine katika shule hiyo na nyingine nyingi za kutwa ni kutokuwepo watumishi wasio walimu kama vile wahasibu na maboharia, ucheleweshaji wa fedha za ruzuku, kauli za wanasiasa kuingilia utendaji, uhaba wa nyumba za walimu, maabara na hosteli. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Walimu wapo kibao Kasulu mjini, lakini…   13 weeks 23 hours ago
    Mradi wa aina hiyo unaweza kutekelezwa katika kijijiji cha Kititimo, mkoani Singida, Makambako, mkoani Iringa, Mgagao, wilayani Mwanga, Katesh wilayani Mbulu, Karatu mkoani Arusha na Usevya, mkoani Rukwa. free advertising|job|tempurpedic cloud luxe
    jessie31
  • Rostam ndiye Dowans   14 weeks 5 days ago
    ya kisheria, mkataba kati ya Shirika la umeme la Taifa anakabidhiwa nguvu hiyo dubai marina (( dubai real estate )) | buy dubai properties
    davidvilla
  • Kikwete na umeme   14 weeks 5 days ago
    na ukosefu wa mvua hivyo kupunguza kiwango cha uzalishaji umeme kwa njia hiyo. kuzalisha umeme yanakauka kutokana dubai marina && property to buy in Dubai && Real Estate Dubai
    davidvilla
  • Uongo wa Nape, Ridhiwani utamaduni wa CCM   16 weeks 5 hours ago
    Ilitarajiwa polisi waombe radhi wananchi kwa waliyotenda. Hawakufanya hivyo. Sasa jeshi linatumia fedha za wananchi kununua muda wa matangazo yenye lengo la kuficha ukweli. free advertising|Hospital beds
    jessie31