-
Nape haifahamu katiba ya CCM?
Jamani huu undugu nization ndio unaua nchi sasa kama mtu anapewa nafasi nyeti kwenye chama ilhali hajui katiba ya chama chake! Je ni vigezo vipi vilivyo angaliwa ili kuteuliwa vinginevyo tuseme hata walio fanya screening ni mbumbumbu sababu nao walipata kazi kwa njia hiohio kwa misingi hii tutarajie nini toka kwa uongozi wa namna hii?Benoit
-
Mambo yamwendea kombo Putin
Muonja asali huyo,Joseph mwita
-
Tumzuie rais kuteua kwa kulipa fadhila
Wengi wape.Joseph mwita
-
Kafulila alistahili kufukuzwa?
kWA JIBU RAHISI LISILOHITAJI KUUMIZA KICHWA NA KUFIKIRI KWA MUDA MREFU...DAVID KAFULILA HAKUSTAHILI KUFUKUZWA.....Rooney
-
Kafulila alistahili kufukuzwa?
Kwa nini afukuzwe,tatizo mtu akiwa mkweli acha tuakwiyima
-
CUF na kiherehere cha ikulu
Bila shaka Chadema wana dhamira ya kutetea maslahi ya Umma,lakini Cuf wao wanaonekana wapo kwa ajili ya maslahi binafsi.ziota
-
CUF na kiherehere cha ikulu
Katika ulingo wa siasa nchini Tanzania,Cuf walionekana kuwa na dhamira safi lakini kwa sasa wamepoteza dira na mwelekeo na kuonekana kuwa ni wanafki mbele ya umma wa watanzania.Kubisha kwao hodi Ikulu ni mwendelezo wa unafki na kejeli dhidi ya Umma.Kama kweli wana dhamira safi kwa nini waliukubali muswada?tena kwa mbwembwe bila kuukosoa pale walipoona inafaa?Sasa huu pia udhihirisho kuwa wao ni CcmB,na hawana sababu za msingi za kutushawishi watanzania tuendelee kuwaamini kulingana na matukio wanayozdi kuyafanya kwa sasa.ziota
-
CUF na kiherehere cha ikulu
sasa chadema na cuf wanatofauti gani ?mr wise
-
Kenya: Mahakama yafuta uteja
Hawakufika hapo kwa ngonjera bali walidhamiria, na wakatoa msukumo usio na woga wala unafiki, wakisukumwa na mapenzi kwa nchi yao. Sio hapa kwetu ambapo ukiona mtu anapiga kelele ujue ana njaa na akipewa kitumbua anageuka kuwa upande wa wmafisadi. Lakini kadiri ugumu wa maisha unavyowazingira watz itafika siku watasema basi inatosha. Watakapojua athari kuwa sheria mbovu na hasa katiba mbovu ina mchango wa kuwafanya masikini, ndipo watasimama kwa pamoja na kudai mabadiliko ya kweli. Inawezekana tusiongelee uvunguni, tupaze sauti zetu hadharani na si kwenye makongamano tu bali popote tunapopata nafasi ya kukutana na watu. Siku itafika na haiko mbali, nawatia moyo wapambanaji wa kweli na si wapambanaji wa kimaslahi.Mkuruka
-
Waziri kumkimbia Lowassa CCM
Muda wa kujivua magamba kwa ccm unasababisha hasara kubwa,hasa ktk utendaji na maadili!lazima viöngozi wa leo watambue kuwa ,siasa za majukwaani zimepitwa na wakati!siasa ni ktk utendaji!ndo maana wanaahidi uongo kwa ummaDR weston kiwone
-
Waziri kumkimbia Lowassa CCM
Muda wa kujivua magamba kwa ccm unasababisha hasara kubwa,hasa ktk utendaji na maadili!lazima viöngozi wa leo watambue kuwa ,siasa za majukwaani zimepitwa na wakati!siasa ni ktk utendaji!ndo maana wanaahidi uongo kwa ummaDR weston kiwone
-
Waziri kumkimbia Lowassa CCM
Muda wa kujivua magamba kwa ccm unasababisha hasara kubwa,hasa ktk utendaji na maadili!lazima viöngozi wa leo watambue kuwa ,siasa za majukwaani zimepitwa na wakati!siasa ni ktk utendaji!ndo maana wanaahidi uongo kwa ummaDR weston kiwone
-
Kenya: Mahakama yafuta uteja
Tutafina tu,Phiri Nyirenda
-
Kenya: Mahakama yafuta uteja
Tanzania...tuko Mbali sana kufikia hatua kama hiikaisa079
-
Mkuu wa Wilaya ya Tarime kuwadi wa Barrick
kama ni kweli hekima na Busara ina hitajika. kwani uwezekano wa kukaa katika meza ya duara haupo?Joseph mwita
-
Sumaye apembua UV-CCM
Kuna ushahidi usio shaka kwamba ndani ya serikali kunafanywa matumizi makubwa kupindukia mpaka na hakujaonekana dhamira hasa ya serikali kukomesha uovu huu. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Tanesco, Ngeleja na giza
Kila rais aliyepita alisemwa na kusemewa. Aliyeko sasa anasemwa na kusemewa na atakayekuja atasemwa na kusemewa. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Symbion: Mwanzo au mwisho wa kashfa?
Amesema malumbano ya kisiasa hujibiwa kwa malumbano ya kisiasa, ili umma uelewe kinachobishaniwa. Serikali huja kwa wakati wake kufanya kazi ya utawala, ikiona inabidi kufanya hivyo. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Wagonga meza, wazomeaji CCM kutunga katiba mpya
Kuna mwandishi mmoja alinipigia simu aliniambia aliongea na Lukuvi, lakini simkumbuki, na kwamba sina haja ya kumkumbuka. Lakini kama alivyoyasema Lukuvi kwamba hajaongea na gazeti, basi namshukuru. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Wafanyakazi wanastahili wanachodai
Aeleze mgawo utaendelea kila baada ya mashine moja kuharibika, au bwawa kukauka. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Waandishi hawa wanahitaji msaada
Matatizo mengine katika shule hiyo na nyingine nyingi za kutwa ni kutokuwepo watumishi wasio walimu kama vile wahasibu na maboharia, ucheleweshaji wa fedha za ruzuku, kauli za wanasiasa kuingilia utendaji, uhaba wa nyumba za walimu, maabara na hosteli. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Walimu wapo kibao Kasulu mjini, lakini…
Mradi wa aina hiyo unaweza kutekelezwa katika kijijiji cha Kititimo, mkoani Singida, Makambako, mkoani Iringa, Mgagao, wilayani Mwanga, Katesh wilayani Mbulu, Karatu mkoani Arusha na Usevya, mkoani Rukwa. free advertising|job|tempurpedic cloud luxejessie31
-
Rostam ndiye Dowans
ya kisheria, mkataba kati ya Shirika la umeme la Taifa anakabidhiwa nguvu hiyo dubai marina (( dubai real estate )) | buy dubai propertiesdavidvilla
-
Kikwete na umeme
na ukosefu wa mvua hivyo kupunguza kiwango cha uzalishaji umeme kwa njia hiyo. kuzalisha umeme yanakauka kutokana dubai marina && property to buy in Dubai && Real Estate Dubaidavidvilla
-
Uongo wa Nape, Ridhiwani utamaduni wa CCM
Ilitarajiwa polisi waombe radhi wananchi kwa waliyotenda. Hawakufanya hivyo. Sasa jeshi linatumia fedha za wananchi kununua muda wa matangazo yenye lengo la kuficha ukweli. free advertising|Hospital bedsjessie31