Submitted by Mwandishi wetu on Sat, 27/11/2010 - 5:13pm.
Ni sahihi kabisa maana nchi hii ni yetu sisi wote
na kama wachache wanataka kuifanya iwe yao,basi awafichue na sheria ifuate mkondo wake.
Hata wale waliosemekana ni mafisadi ebu Sheria ifanye kweli iwahenyeshe mpaka wengine wajifunze kwao!
Ni sahihi kabisa maana nchi hii ni yetu sisi wote
na kama wachache wanataka kuifanya iwe yao,basi awafichue na sheria ifuate mkondo wake.
Hata wale waliosemekana ni mafisadi ebu Sheria ifanye kweli iwahenyeshe mpaka wengine wajifunze kwao!