Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulikuwa Huru na Haki?


Printer-friendly versionSend to friend
Ndiyo
18% (28 votes)
Hapana
82% (128 votes)
Total votes: 156

Na mimi leo nakubaliana na stella kwamba gazeti hili sisi wa mbali tunachelewa kulipata kwenye hard copy kwahiyo tunaomba mtuwekee kwenye soft copy basi, kwa maana leo jumatatu ndio nasoma gazeti la jumatato kweli tunapitwa na habari nyingi

Mhariri tunakuomba utufikirie hilo la kuwekea gazeti kwenye internent soft copy.

Mwanahalis Big Up, Your news paper Now looks similar to Newyork Times in the website. You are great thinkers and informers. Keep it up.

Mtanzania Halisi

Acha nimwunge mkono Joseph Mushi hapo juu kwamba ninalipenda sana gazeti hili.Tatizo ni moja tu - haliwekwi kwenye mtandao kwa wakati mwafaka sisi tulio mbali na nyumbani tukalisoma kwa wakati unaofaa. Hatuwezi kuifikia 'hard copy', tunategemea mtandao kusoma habari za nyumbani. Ndugu Mhariri, tukumbuke na sisi tulio mbali na upeo wa macho ya Tanzania kwa kuliweka gazeti lako mahiri hapa mtandaoni.

Napenda sana hili gazeti lenye uchambuzi wa kina lisilokuwa na ubabaishaji kabisa

hapana ubabaishaji ulikuwa ni mwingi