HABARI MAHUSUSI

Usalama wa Taifa wabinafsishwa

Na Mwandishi Wetu 01 Jul 2008

Serikali yaingizwa mkenge
Siri sasa zaanza kufumuka

KAMA kampuni ya Meremeta Limited inahusika na ulinzi na usalama wa taifa, kama alivyoeleza Waziri Mkuu Mizengo Pinda, basi usalama wa nchi umebinafsishwa

 
Na Mwandishi Wetu 01 Jul 2008

MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chacha Wangwe, 'amejiweka kitanzi' kutokana na kukaidi ushauri aliopewa na Kamati ya Wazee ya chama hicho

 
Na Joseph Mihangwa 01 Jul 2008

KILIMO na maji ndiyo sekta zilizopangiwa fungu dogo zaidi kibajeti kwa mwaka wa fedha ulioanza jana, Julai mosi.

 
Na Peter Wambura 01 Jul 2008

HATUA ya Mbunge wa Kwela, Chrisant Mzindakaya (CCM), kuwashambuliwa wabunge na wananchi wanaomtuhumu Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kwa kutumia vibaya ofisi ya rais katika kipindi cha utawala wake, imewashangaza wengi.

 

UFISADI na ukosefu wa utawala bora ni matatizo yanayoitia doa serikali ya awamu ya nne iliyoingia madarakani kwa kaulimbiu ya 'ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.'

08/04/2010