HABARI MAHUSUSI
Uchaguzi UWT: Kambi za 2005 hazijavunjwa
INAWEZEKANA RAIS Jakaya Kikwete amevunja kambi yake ya wakati wa uchaguzi mwaka 2005, lakini ameivunjia rohoni mwake.
Inasadikika ni rohoni mwake kwa kuwa wale waliokuwa wapambe wake wanaonekana kuwa bado wana donge la mwaka 2005.
- Jihabarishe
- [Wasomaji 490]
|
| Utalii Tanzania: Vyanzo vingi havijatumika vizuri Zaynab Turuku | [469] |
| Wakati gani serikali inakuwa ya watu? Joseph Mihangwa | [385] |
| Nani aende Dodoma? Frank Chalamila | [334] |