HABARI MAHUSUSI

Uchaguzi UWT: Kambi za 2005 hazijavunjwa

Na Saed Kubenea 23 Sep 2008

INAWEZEKANA RAIS Jakaya Kikwete amevunja kambi yake ya wakati wa uchaguzi mwaka 2005, lakini ameivunjia rohoni mwake.

Inasadikika ni rohoni mwake kwa kuwa wale waliokuwa wapambe wake wanaonekana kuwa bado wana donge la mwaka 2005.

 
Na Jabir Idrissa 23 Sep 2008

CHARLES Mwera Nyanguru ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, mkoani Mara. Anatafuta kofia nyingine ya chama chake. Ni ubunge.

 
07/04/2010