HABARI MAHUSUSI

Lowassa amzunguka Kikwete

Na Saed Kubenea 31 Mar 2009

Ni katika uteuzi wa Ma-DC
Orodha yabadilishwa mwishoni

UTEUZI wa wakuu wapya wa wilaya,  uhamisho wa baadhi na kustaafishwa kwa wengine, vinadaiwa kuingiliwa na mtandao wa aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Mwandishi Wetu 31 Mar 2009

“MIMI sijawahi kutumia udini kutafuta uongozi. Nimekuwa mbunge kwa vipindi vitatu sasa mfululizo. Katika muda wote huo, hakuna hata mara moja nilipotumia udini kushinda ubunge.

 
Na Alloyce Komba 31 Mar 2009

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mstapha Mkullo amenukuliwa akiwaeleza wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mjini Mwanza wajitahidi kukusanya kodi zaidi na iwapo wanadhani kikwazo ni mishahara midogo, atamuomba Rais Jakaya Kikwete awaongeze.

 
Na Stanislaus Kirobo 31 Mar 2009

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, amejitosa katika sakata la ununuzi wa mitambo ya Dowans.

 
Rostam nusura ajiumbue Alfred Lucas [568]
Kilimo kikubwa, utumwa mpya Joseph Mihangwa [441]
Malecela amesimama na Kikwete? Saed Kubenea [337]
Ban Ki-Moon lawamani Ndimara Tegambwage [376]
Yanga: Mbinu au woga kwa Ahly? [427]
06/04/2010