HABARI MAHUSUSI

Vita vya makundi CCM vyamwandama Kikwete

Na Saed Kubenea 07 Apr 2009

Mwakyembe amkomalia Chiligati
Mkuchika kuvaana na Makamba

VITA vya makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake, sasa siyo siri tena. Sasa vinaelekezwa moja kwa moja kwa Rais Jakaya Kikwete, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Saed Kubenea 07 Apr 2009

AUGUSTINE Mrema, mwenyekiti wa chama cha cha Tanzania Labour (TLP) bado hajaacha tabia yake ya siku nyingi ya kushutumu na kutuhumu kila anayetofautiana naye.

 
Na Mwandishi Wetu 07 Apr 2009

SAFARI ya Yanga katika michuano migumu, yenye mvuto na utajiri mkubwa wa fedha katika ngazi za klabu barani Afrika, Ligi ya Mabingwa imefikia mwisho.

 
Na M. M. Mwanakijiji 07 Apr 2009

HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa 1 Aprili 2009, haiwezi kupita bila kujadiliwa. Sababu zipo nyingi. Lakini kubwa ni kwamba hotuba ya rais ni kichocheo cha mijadala.

 

TANZANIA haijasalimika na mtikisiko wa sekta ya fedha unaodhoofisha mtandao wa uzalishaji Marekani, Ulaya na Asia.

06/04/2010