HABARI MAHUSUSI

Mkapa atishia serikali

Na Saed Kubenea 30 Jun 2009

Watetezi wake wajipanga upya
Watuhumiwa ufisadi wamo

MPANGO wa kumtetea rais mstaafu Benjamin Mkapa umelenga mbali. Umeandaliwa mahsusi kubeba wote wanaolalamika kuwa Rais Jakaya Kikwete amewatelekekeza, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Aristariko Konga 30 Jun 2009

WAZIRI wa Miundombinu, Shukuru Kawambwa leo anatarajiwa kusulubiwa bungeni kutokana na miradi ya wizara yake kuwa na utata mwingi.

 
Na Mwandishi Wetu 30 Jun 2009

VYOMBO vya habari vya Kusini mwa Afrika vitamshangaa Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kumtetea aliyekuwa Rais wa Bunge la Afrika (PAP), Gertrude Mongella, ambaye alilazimishwa kujiuzulu nafasi hiyo.

 
Na M. M. Mwanakijiji 30 Jun 2009

UTETEZI wa rais mstaafu wa Benjamin Mkapa ambao ulifanywa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akihitimisha mjadala wa bajeti ya ofisi yake, Ijumaa iliyopita, haukubaliki.

 

SERIKALI haina budi kusitisha mauaji yanayoendelea hivi sasa katika Wilaya ya Tarime, mkoani Mara. Hatukubali kurejea kwenye ushenzi.

03/04/2010