HABARI MAHUSUSI

Wabaya wa Sitta wafichuka

Na Saed Kubenea 25 Aug 2009

Maandalizi kumg'oa ya muda mrefu
Kikwete alinong'onezwa mapema

NJAMA za kumng'oa Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta ziliratibiwa na baadhi ya viongozi wa juu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), MwanaHALISI limedokezwa.

 
Na Aristariko Konga 25 Aug 2009

KILA panapogunduliwa madini nchini na makampuni ya nje kuanza kuchimba, mara moja maisha ya wananchi hubadilika kutoka kuwa ya bahati na kuwa ya balaa.

 
Na Mwandishi Wetu 25 Aug 2009

SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) limeingia ubia na kampuni ya China bila ya kushirikisha Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), imefahamika.

 
Na Kristofai Mwageni 25 Aug 2009

KAULI ya Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwantumu Mahiza, kwamba mwalimu anayeona mshahara wa ualimu ni mdogo aondoke na kujiunga kada nyingine zenye mshahara mkubwa haifai.

 

SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekasirika. Sasa inashusha hasira zake kwa wabunge, Spika na Bunge lenyewe. Viongozi wanajua fika kuwa Bunge, kama Serikali na Mahakama, ni mhimili wa dola.

02/04/2010