HABARI MAHUSUSI

Lowassa kutinga kortini

Na Saed Kubenea 22 Sep 2009

Ni katika sakata la Richmond
Uswaiba na Kikwete majaribuni

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, aweza kufikishwa mahakamani kwa makosa ya kuingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji kati ya serikali na kampuni ya Richmond Development Company (LLC), MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Ndimara Tegambwage 22 Sep 2009

TABIA ya Yusuf Makamba, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni ileile ya mara baridi, mara joto, mara vuguvugu na mara baridi, tena katika muda mfupi.

 
Na Aristariko Konga 22 Sep 2009

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kutetea safari zake nje ya nchi, ubalozi wa Marekani nchini ulitoa taarifa inayoelezea vigezo vya nchi kupata msaada. Havihusu safari za wakuu wa nchi.

 
Na Ansbert Ngurumo 22 Sep 2009

NI nani anaweza kumpinga Edward Lowassa? Ni nani ana uwezo wa kumtenga Lowassa na rafiki yake wa siku nyingi, Rais Jakaya Kikwete?

 

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Lewis Makame, amenukuliwa akisema tume yake haihusiki na matatizo yanayojitokeza katika uandikishaji wapiga kura kisiwani Pemba.

30/03/2010