HABARI MAHUSUSI

Sakata la RICHMOND: Serikali kukwaa kisiki

Na Saed Kubenea 29 Sep 2009

MVUTANO wa aina yake unatarajiwa kuibuka wiki ijayo kati ya bunge na serikali juu ya kampuni ya kufua umeme ya Richmond, imefahamika.

 
Na Abel Ndekirwa 29 Sep 2009

YUSUPH Makamba, katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ana ajenda gani dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri, Samwel Sitta?

 
Na Saed Kubenea 29 Sep 2009

MBUNGE wa Monduli, mkoani Arusha, Edward Lowassa ameibuka. Amesema hakukutana na Rais Jakaya Kikwete barabarani; wala uhusiano alioita "imara walioujenga na Kikwete" hauwezi kuvurugwa na kikundi kidogo cha watu wenye nia mbaya.

 
Na Markus Honorius 29 Sep 2009

TAREHE 23 Mei 1999, Rais wa Venezuela, Hugo Chavez alianzisha kipindi cha kujibu maswali, kutoka kwa wananchi, kwa njia ya televisheni.

 

KATIKA siku za karibuni vita dhidi ya ufisadi vimechukua mwelekeo mwingine. Vinapiganwa hata na watu ambao rekodi za usafi wao zinatia shaka.

30/03/2010