HABARI MAHUSUSI

Siri ya Sheikh Yahya yafichuka

Na Saed Kubenea 30 Dec 2009

CHANZO cha vitisho vilivyotolewa na Sheikh Yahya Hussen kwamba atakayempinga Rais Jakaya Kikwete atakufa ghafla kimefahamika.

 
Na Mwandishi Maalum 30 Dec 2009

ALIPOKUJA na orodha ya walioitwa "watafuna nchi," ambayo iliwaacha uchi karibu vigogo wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wenye akili walitia akilini.

 
Na Saed Kubenea 30 Dec 2009

UTAWALA wa awamu ya nne umetimiza miaka minne madarakani; ambayo ni sawa na asilimia 80 ya muda wa miaka mitano ya kipindi cha kwanza cha utawala wa Jakaya Mrisho Kikwete.

 
Na Jabir Idrissa 30 Dec 2009

SAID Soud Said awaeza kuwa mwanasiasa mwenye akili nyingi. Lakini naona sasa anakuwa "mwanasiasa hatari."

 

MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, ameibuka na mbiu mpya. Anawashutumu vikali wale wote waliotoa kauli zao kwenye kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF).

25/03/2010