HABARI MAHUSUSI

Waziri Kombani ndani ya sakata la Jery Muro

Na Saed Kubenea 24 Feb 2010

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Celina Kombani anachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Abel Ndekirwa 24 Feb 2010

KUNDI la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwamo wabunge waliojipachika jina la "wapiganaji," limesaliti umma na kujisaliti lenyewe.

 
Na Mbasha Asenga 24 Feb 2010

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tabora mwishoni mwa wiki, alitoa kauli yenye utata alipokuwa kwenye jimbo la Igunga, ambalo mbunge wake ni Rostam Aziz.

 
Na Mwandishi Wetu 24 Feb 2003

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru kurudishwa kazini kwa wafanyakazi 25 wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) waliofutwa kazi miaka 11 iliyopita.

 
TAHARIRI: Iko wapi AU?

MATUKIO ya kishetani yanayoendelea nchi kadhaa za Afrika yanathibitisha jambo moja kubwa: Umoja wa Afrika (AU) haujamudu vema wajibu wake.

24/03/2010