HABARI MAHUSUSI

Mtoto wa Kikwete azua tafrani

Na Saed Kubenea 03 Mar 2010

Avunja mkutano wa UV-CCM

MTOTO wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete anatuhumiwa kuvunja mkutano wa mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UV-CCM), Masauni Yusuph Masauni, MwanaHALISI imeelezwa.

 
Na Mwandishi Wetu 03 Mar 2010

WIMBI la kujisafisha la watuhumiwa wa kile kinachoitwa “ufisadi wa elimu,” limepamba moto, imefahamika.

 
Na Ezekiel Kamwaga 03 Mar 2010

UTAWALA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), chini ya Dk. Daudi Balali ulikuwa na utaratibu wa kulipa mawakili wa kukodi wa makampuni tofauti lakini kwa kazi ileile, imegundulika.

 
Na Ndimara Tegambwage 03 Mar 2010

WAKO wapi waandishi wa habari wa Tanzania? Wamelala? Wamepigwa kafuti? Wamenyauka? Rais Jakaya Kikwete amesema waandishi wa habari wanakula rushwa? Wote? Hakuna anayepinga; anayekana? Hakuna anayechefuka kwa kutaja rushwa?

 
24/03/2010