HABARI MAHUSUSI

Serikali kufanya usanii rada

Na Ezekiel Kamwaga 17 Mar 2010

Yaweza kuwatema akina Chenge
Waokotwa ‘vijana wa Kariakoo’

KESI ya "vigogo wa rada" imehamia kwa watu wadogo ikiacha watuhumiwa wakuu wa awali – Andrew Chenge, Tanil Sumaiya na Sailesh Vithal, imefahamika.

 
Na Ezekiel Kamwaga 17 Mar 2010

MWAKA 1919, aliyekuwa Rais wa Marekani, Woodrow Wilson, aliugua kiharusi kilichopunguza uwezo wake wa kufanya kazi.

 
Na Saed Kubenea 17 Mar 2010

TUMESIKIA watetezi wa Rais Jakaya Kikwete. Wanasema "Rais Kikwete hajageuzwa mradi."

 
Na Yusuf Aboud 17 Mar 2010

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda huenda akaburuzwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa, imefahamika. Hatua hiyo inaandaliwa na wakazi wa kijiji cha Mgusu, kata ya Mtakuja, Geita mkoani Mwanza

 

POLISI wameamua kufa watakavyo. Wanajimaliza kwa kushiriki kuua wananchi wasiokuwa na hatia. Ni wananchi walewale ambao kila siku Polisi inataka washirikiane na jeshi ili kufanikisha Mpango wa Polisi Jamii au ulinzi shirikishi.

20/03/2010