HABARI MAHUSUSI

Rostam aibiwa

Na Mwandishi Wetu 28 Apr 2010

Ni zana za kumng’oa Selelii

VIFAA vya kampeni vya Mbunge wa Igunga (CCM), Rostam Aziz, vimedaiwa kuibwa katika mazingira ya kutatanisha.

 
Na Saed Kubenea 28 Apr 2010

SERIKALI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inaendelea kujifunza. Itaendelea kujifunza na labda bila kufuzu.

 
Na Mwandishi Wetu 28 Apr 2010

MGAWANYIKO mpya umeibuka kwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye mtizamo wa kizalendo dhidi ya wale wanaofikiria zaidi maslahi ya kibiashara, MwanaHALISI imebaini.

 
Na Ezekiel Kamwaga 28 Apr 2010

MBUNGE wa Buchosa – Samwel Mchele Chitalilo – yuko matatani na uwezekano wake kugombea tena ubunge Oktoba mwaka huu, uko mashakani.

 
Na Mwandishi Maalum 28 Apr 2010

JICHO la Baraka Nyamhanga “limekufa.” Mmoja wa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wanaolinda mgodi wa North Mara alifyatua risasi, ikatua sikioni mwake na kutokezea jicho la kulia. Halioni tena.

 
01/05/2010