HABARI MAHUSUSI

Dk. Bilal amtisha Rais Kikwete

Na Saed Kubenea 30 Jun 2010

Ni ikiwa hatamteua kugombea urais Zanzibar
Mabilioni yamwagwa kutoka Uarabuni
Mbunge Rostam Aziz ahusishwa

RAIS Jakaya Kikwete ametishiwa. Ameambiwa asipopitisha jina la Dk. Mohammed Gharib Billal katika kinyang’anyiro cha urais visiwani Zanzibar, yeye na chama chake “watakiona cha moto.”

 
Na Mbasha Asenga 30 Jun 2010

KUNA dhana iliyojengwa kwamba watu wenye fikra nyepesi hujadili watu; wenye fikra za kati hujadili matukio na wale wenye fikra pevu hujadili dhana au tuseme mawazo.

 
Na Rogath Masawe 30 Jun 2010

HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kumtumia mwanawe, Ridhiwani Kikwete, kumtafutia wadhamini ili awanie urais kupitia CCM ilikuwa ni makosa.

 
Na M. M. Mwanakijiji 30 Jun 2010

NAWEZA kusema kitu ambacho watu wengi tayari wanakijua au kukikubali bila haja ya kufanya jitihada kubwa ya kuwashawishi.

 

MWANZONI mwa mwezi huu, tulitoa rai kwa wabunge wote kwamba washiriki kikamilifu katika mkutano wa 20 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na watoe hoja zenye nguvu.

04/07/2010