HABARI MAHUSUSI

Mpango wa Kikwete, Karume wakamilika

Na Saed Kubenea 07 Jul 2010

Rais Jakaya Kikwete na Rais Amani Karume
Ni wa kumpa urais Dk. Shein Zanzibar
Bilal kutegemea fadhila za rais mpya

MKAKATI wa marais Jakaya Kikwete na Amani Karume wa kumfanya Dk. Ali Mohammed Shein kuwa rais wa Zanzibar, sasa umekamilika.

 
Profesa Jumanne Maghembe
Na Yusuf Aboud 07 Jul 2010

JIMBONI Mwanga, katika mkoa wa Kilimanjaro, kwa Profesa Jumanne Maghembe, hakukaliki. Ni malumbano na tuhuma. Kambi za wagombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinakabana koo.

 
Na Halifa Shabani 07 Jul 2010

MAASKOFU wa madhehebu ya Kikristo nchini Tanzania wametumia jukwaa lao walilozindua hivi karibuni kuitaka serikali ipange siku nyingine ya uchaguzi badala ya Jumapili kama ilivyozoeleka.

 
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete
Na Mbasha Asenga 07 Jul 2010

TAFAKARI ya kina juu ya rafu zinazoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inaacha ujumbe mmoja dhahiri; kwamba tatizo kubwa la kimaadili linalokabili taifa kwa sasa kiasi cha nchi kugeuka kuwa ya watu wanaoishi kwa ghilba, ubazazi, ‘misheni town’ na kila aina ya mbinu chafu zilizopotoka kimaadili, ni CCM!

 

MWISHONI mwa wiki iliyopita, serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, ilitangaza uamuzi wake wa kuruhusu uraia wa nchi mbili.

13/07/2010