HABARI MAHUSUSI

Dk. Shein kuzua utata

Na Saed Kubenea 14 Jul 2010

UTEUZI wa Dk. Ali Mohammed Shein kuwa mgombea urais Zanzibar huenda ukazua utata, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Mwandishi Wetu 14 Jul 2010

GAZETI la MwanaHALISI linalochapishwa kila Jumatano, limeingia matatani tena.

 
Na Saed Kubenea 14 Jul 2010

HATIMAYE ndoto ya Dk. Mohammed Gharib Bilal imetimia. Kukurukakara zake za miaka kumi zimezaa matunda na tayari amerudi ulingoni.

 
Na Mbasha Asenga 14 Jul 2010

MCHAKATO wa kusaka mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka huu, umethibitisha kwa mara nyingine kwamba nafasi ya Waziri Kiongozi au Waziri Mkuu si njia ya kutumia kuufikia urais.

 

MARA baada ya Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu ujao, alitoa hotuba fupi ya kutia moyo.

17/07/2010