HABARI MAHUSUSI

Makombora ya Dk. Slaa haya

Na Saed Kubenea 28 Jul 2010

UTEUZI wa Dk. Willibrod Slaa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, "unamweka pabaya" Rais Jakaya Kikwete ambaye anatetea nafasi hiyo kwa muhula wa pili, MwanaHALISI limeelezwa.

 
Na Nkwazi Mhango 28 Jul 2010

Nakuamkia na kukupa pole kwa shughuli za hapa na pale hasa kipindi hiki unapokabiliwa na pilika za kutaka kuendelea kuwa mbunge wa Monduli.

 
Na Mwandishi Wetu 28 Jul 2010

MAISHA ya Mkurugenzi Mtendaji wa MwanaHALISI, Saed Kubenea yanaendelea kuwa hatarini.

 
Na M. M. Mwanakijiji 28 Jul 2010

JAWABU la swali hilo hapo juu linalobeba kichwa cha habari, kwa hakika, linategemea ni nani unamuuliza.

 

JUMAMOSI ijayo yaani tarehe 31 Julai, ni siku ya wananchi wa Zanzibar watapiga kura kufanya maamuzi kuhusu mfumo wa utawala Zanzibar iwepo au isiundwe Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

30/07/2010